Star TV na Chief Odemba wanaweza kushtakiwa na Paul Makonda kwa kukashifu, na wakalipa mabilioni ya shilingi

Star TV na Chief Odemba wanaweza kushtakiwa na Paul Makonda kwa kukashifu, na wakalipa mabilioni ya shilingi

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Naona Start TV wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.

Nashauri Makonda au watu wengine wanaokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.

Sijui kama Chief Odemba na Star TV wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
 
Kumbe bado mnaangaliaga hiyi startiv mara ya mwisho kuangalia sijui lin ila baada ya futuhiii kuwa modify
 
Naona startv wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.

Nashauri Makonda au watu wengine waoiokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.

Sijui kama Chief Odemba na Startv wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
Wawashitaki ili ukweli ujulikane
 
Naona startv wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.

Nashauri Makonda au watu wengine waoiokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.

Sijui kama Chief Odemba na Startv wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.


..Star TV na Odemba hawana makosa.

..mwenye makosa ni Tundu Lissu aliyetoa tuhuma nzito dhidi ya Paul Makonda.
 
Naona startv wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.

Nashauri Makonda au watu wengine waoiokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.

Sijui kama Chief Odemba na Startv wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
Madtusi yapi hayo? Makonda alishatajwa na Lisu mara kadhaa wala hakukanusha, hana ubavu wa kwenda mahakamani
 
Makonda mbona hawamkamati na hawa chadema mbona wanachelewa kupeleka ushahidi ili Albert bashite avune alichopanda??sababu gani inaweza kukufanya ufanye mauaji,??umaarufu?? au fedha??,ifike hatua watanzania tukatae hawa maharamia.
 
Naona startv wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.

Nashauri Makonda au watu wengine waoiokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.

Sijui kama Chief Odemba na Startv wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
Aende Mahakamani hata kesho ili na sisi tukafukue Utapeli wake wa Magari akishirikiana na Le Mutuz
 
Naona startv wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.

Nashauri Makonda au watu wengine waoiokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.

Sijui kama Chief Odemba na Startv wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
Kwanini msimshtaki Lissu, mnaogopa nn?
 
Makonda mbona hawamkamati na hawa chadema mbona wanachelewa kupeleka ushahidi ili Albert bashite avune alichopanda??sababu gani inaweza kukufanya ufanye mauaji,??umaarufu?? au fedha??,ifike hatua watanzania tukatae hawa maharamia.
Lisu anamtaja Makonda kila mahala ili (Makonda) aingie king kwa kujitia kumshitaki Lisu. Hapo ndipo (Makonda) atajua hajui
 
Naona Start TV wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.

Nashauri Makonda au watu wengine waoiokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.

Sijui kama Chief Odemba na Star TV wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
Mbona kwa hili Chief Odemba hajamkashifu po pote Mr Makonda. Alichofanya ni kumuhemesha Tundu Lissu kuwa hana ushahidi wo wote dhidi ya Makonda na kwamba hata hiyo kesi yake huko London haina mashiko. Yaani kamtoa jasho Tundu Lissu ile mbaya. Kaweka
wazi kuwa ikitokea Makonda akamburuza Tundu Lissu mahakamani kwa defamation case atashinda kesi asubuhi na Tundu Lisu kulazimika kumlipa Makonda mabillioni ya pesa.

Hivyo Odemba kwa hapa yuko upande wa Makonda na serikali ya Tanzania. Msikilize hapa alipomuweka kiti moto huyu mbeligiji Tundu Lissu:


View: https://youtu.be/NmCLLvYBXQE?si=sjjsAJKHNBVdKp_4
 
Naona Start TV wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.

Nashauri Makonda au watu wengine waoiokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.

Sijui kama Chief Odemba na Star TV wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
Kama wewe akili yako imelala, unafikiri hata hao unao sema wamekashifiwa nao akili zimewaruka kichwani?

Kwanza mtu kama Bashite, sijui ataanza vipi kwenda kujishitaki mahakamani!
 
Back
Top Bottom