Video yake hiyo imegonga viewers mil 83 wakati video za kina Drake, Minaj,breeze zinagonga bil 1+Brazil ina population ya watu 210M , USA ina watu 330M unasemaje hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Video yake hiyo imegonga viewers mil 83 wakati video za kina Drake, Minaj,breeze zinagonga bil 1+Brazil ina population ya watu 210M , USA ina watu 330M unasemaje hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Video yake hiyo imegonga viewers mil 83 wakati video za kina Drake, Minaj,breeze zinagonga bil 1+
We jamaa uweleweki hoja yako imesimama kwenye nini
kichwa hamna kisa ww humjui ndio dunia himjui shenzo type angalia watoto wasijerithi akili yakoAnafahamika Brazil ila sio duniani Kama mwana fa anafahamika huku bongo uko kwengine hafahamiki.
Mkuu katika siku zote leo umeharibuHuyo msanii hata hafaamiki yupo uko Brazil hiyo video yake imekopiwaje?
Nitajie ukitoa nchi yake ya Brazil nchi zipi anafahamika?Mkuu katika siku zote leo umeharibu
84m, viewers in 10 months hajulikani??
Kufeli kwamba followers wake wamepungua wameenda kwa Diamond au?Iza hapo kafeli mno, nimesoma comments wabrazil walikua hata hawamjui kabisa imebidi wamfollow Mondi ili kumjua ni nani hasa aisee 😂😂
Kufeli kwamba followers wake wamepungua wameenda kwa Diamond au?
Sijaona alikofeli labda kama alitaka alipwe kwa watu kumfollow mondi pia hata sisi tulikuwa hatumjui IZA piaHapana, amempigia promo kiaina maana wabrazil walikua hawamjui sasa kitendo cha kumpost na kuweka @ username yake watu wamekuwa curious kumjua mondi ni nani so baadhi wamemfollow Mondi 😂. Tayari post kashaifuta baada ya kuligundua hilo.
Sioni ali
Sijaona alikofeli labda kama alitaka alipwe kwa watu kumfollow mondi pia hata sisi tulikuwa hatumjui IZA pia
Hapo angekuwa yeye ndio mkosaji sababu ya kuweka ile post instagram ni kuonesha kuwa kabla mondi hajashoot ile video walikubaliana mondi acopy video yake tofauti na suala Magix Enga na Harmonize.Basi angefanya jambo la maana kama angepitia njia aliyopitia Magix Enga wa Kenya kwa ku-Request video ifutwe huko youtube, si idea kaibiwa? Angeshtaki kwa youtube aone kama ingefutwa..
Mbona hata yeye baadhi ya vipande kwenye huo huo wimbo wake amekopy kwenye wimbo wa baby boy wa Beyonce.Hapo angekuwa yeye ndio mkosaji sababu ya kuweka ile post instagram ni kuonesha kuwa kabla mondi hajashoot ile video walikubaliana mondi acopy video yake tofauti na suala Magix Enga na Harmonize.
Ukiangalia video yake pamoja na ya mondi scene mbili tu ndo zimefanana Tena upande wa nguo kiasi hii inakuwa ngumu kusema ni Copy na pest ingekuwa karibia video nzima ni copy labda angefanya hivyo.Basi angefanya jambo la maana kama angepitia njia aliyopitia Magix Enga wa Kenya kwa ku-Request video ifutwe huko youtube, si idea kaibiwa? Angeshtaki kwa youtube aone kama ingefutwa..
Tofauti gani? Unaambiwa acha kulialia mwenzio anapofanikiwa,usimuonee gere. Tafuta hela na wewe acha umamaNilichosema. Na ulichoandika n vtu viwili tofaut.
Dogo una moyo...Nitajie ukitoa nchi yake ya Brazil nchi zipi anafahamika?