Star wa Brasil (IZA) Amchana Diamond kwa Kucopy Idea ya Video ya Wimbo wake na kuitumia kwenye GERE

Star wa Brasil (IZA) Amchana Diamond kwa Kucopy Idea ya Video ya Wimbo wake na kuitumia kwenye GERE

Kitu mschojua wote ni wanachama ni utekelezaji wa ilani kwa wakati tofauti.
 
ukitaka wajua watz wengi walivyo weupe vichwani wape maada ya mabishano...
diamond ana akili ya biashara, anaingia makubaliano na mtu alafu ana mute then anaachia kitu watu watapga kelele weee mwisho wanaenda kuingalia ngoma yake...

mwisho wa picha mwenye kazi ile kasema wanamakubaliano hapo ndo utajua haujui maana yake ni nini....
gere limetazamwa na brazilians wengi hapo jamaa kashapenya na inasemekana soon wanakuja na collabo, so nani mjinga kati ya wanaobisha na diamond?

kwa leo naishia hapa wenye akili wameelewa, mapunga yataendeleza mabishano kwa mtu anaecheza na akili zao bila wao kujua
 
Watu mnatoana macho bure hapa, niliichoona mimi hapa inatengenezwa collable. Save this post, utakuja kuamini baadae. Diamond Platnumz ft. IZA kabla 2020 haijageuka. Nyi hamjashtukia targets za huu mchezo tu.
 
Iza hapo kafeli mno, nimesoma comments wabrazil walikua hata hawamjui kabisa imebidi wamfollow Mondi ili kumjua ni nani hasa aisee 😂😂
Kufeli kwamba followers wake wamepungua wameenda kwa Diamond au?
 
Kufeli kwamba followers wake wamepungua wameenda kwa Diamond au?

Hapana, amempigia promo kiaina maana wabrazil walikua hawamjui sasa kitendo cha kumpost na kuweka @ username yake watu wamekuwa curious kumjua mondi ni nani so baadhi wamemfollow Mondi 😂. Tayari post kashaifuta baada ya kuligundua hilo.
 
Sioni ali
Hapana, amempigia promo kiaina maana wabrazil walikua hawamjui sasa kitendo cha kumpost na kuweka @ username yake watu wamekuwa curious kumjua mondi ni nani so baadhi wamemfollow Mondi 😂. Tayari post kashaifuta baada ya kuligundua hilo.
Sijaona alikofeli labda kama alitaka alipwe kwa watu kumfollow mondi pia hata sisi tulikuwa hatumjui IZA pia
 
Sioni ali

Sijaona alikofeli labda kama alitaka alipwe kwa watu kumfollow mondi pia hata sisi tulikuwa hatumjui IZA pia

Basi angefanya jambo la maana kama angepitia njia aliyopitia Magix Enga wa Kenya kwa ku-Request video ifutwe huko youtube, si idea kaibiwa? Angeshtaki kwa youtube aone kama ingefutwa..
 
Basi angefanya jambo la maana kama angepitia njia aliyopitia Magix Enga wa Kenya kwa ku-Request video ifutwe huko youtube, si idea kaibiwa? Angeshtaki kwa youtube aone kama ingefutwa..
Hapo angekuwa yeye ndio mkosaji sababu ya kuweka ile post instagram ni kuonesha kuwa kabla mondi hajashoot ile video walikubaliana mondi acopy video yake tofauti na suala Magix Enga na Harmonize.
 
Hapo angekuwa yeye ndio mkosaji sababu ya kuweka ile post instagram ni kuonesha kuwa kabla mondi hajashoot ile video walikubaliana mondi acopy video yake tofauti na suala Magix Enga na Harmonize.
Mbona hata yeye baadhi ya vipande kwenye huo huo wimbo wake amekopy kwenye wimbo wa baby boy wa Beyonce.
 
Basi angefanya jambo la maana kama angepitia njia aliyopitia Magix Enga wa Kenya kwa ku-Request video ifutwe huko youtube, si idea kaibiwa? Angeshtaki kwa youtube aone kama ingefutwa..
Ukiangalia video yake pamoja na ya mondi scene mbili tu ndo zimefanana Tena upande wa nguo kiasi hii inakuwa ngumu kusema ni Copy na pest ingekuwa karibia video nzima ni copy labda angefanya hivyo.
 
Back
Top Bottom