Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni huyo dada hapo.haro rapa ndiyo nani huyo?
Kwakweli 😂😂😂Mmbongo mpe kichwa, habari yote ataongezea
😂😂😂😂Ni huyo dada hapo.View attachment 1588837
Duuh ndio maana yule mama ntilie kaamua kumzalia kabisaDavido ana mahekalu sio nyumba zetu za kawaida.
Upo darasa la tatu C au la tatu B ?Ufipa watapinga wataenda kwa wakili wao wamshitaki kijana Davido kwa kujali maendeleo ya vitu sio watu
Ngoja tusubiri barua ya vitisho
Labda kwa kuuza unga lakini sio mziki huu wa bongoAli kiba alinunua gari hiyo miaka mitatu iliyopita lakini mtu wetu hapendi show off. [emoji12]
Umeuwa mkuu [emoji16][emoji2][emoji23]Ufipa watapinga wataenda kwa wakili wao wamshitaki kijana Davido kwa kujali maendeleo ya vitu sio watu
Ngoja tusubiri barua ya vitisho
Hizi details umezitoa wapi?Mwache afurahie mafanikio yake,hata asingekuwa mwanamziki bado angekuwa anadrive mandinga kama hayo,kwani baba yake mzazi net worth yake ni zaidi ya USD mil 700.Kwa kifupi jamaa amezaliwa kazikuta hela na yeye anazidi kutengeneza hela zake binafsi.
Adedeji Adeleke Net Worth 2020 Figures | Glusea.comHizi details umezitoa wapi?
Hapo sawa. Tuwekee Net worth ya Baba yako sasa
Vizuri ungeanza wewe na net worth ya BABA YAKO.Hapo sawa. Tuwekee Net worth ya Baba yako sasa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hapo sawa. Tuwekee Net worth ya Baba yako sasa