APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma siku hizi kama mafua tu,alafu siwezi piga pull nitalegeza mishipaUgwadu ukizidi piga puli kimoja akili ikae Sawa, pombe pía sio rafiki
Sasa unapambana na maisha alafu unakuja kufa na ngoma asee chali unazingua eti
Umenipa moyo mkuuPiga moyo konde, songa mbele.
Play safeNgoma siku hizi kama mafua tu,alafu siwezi piga pull nitalegeza mishipa
Sawa mkuuPlay safe
Yani sasa hivi kuna vitoto vinzuri kila ninaye muona lazima nimtongoze,simu yangu imejaa wanawake tuMapenzi hayajakuacha mtu salama hapa[emoji23]
Mwanangu usahau tu,wanaume tumepewa makoromeo ya kumezea mambo,unanikumbusha tena machunguWenge la kuibiwa 15k mpaka litoweke itakuchukua miaka 10
Usiwe na unakula mate chapa mzigo sepa usije baka watotoZa nyieeeee..
Mapenzi, mapenzi, nakuita tena xxx.
Ni starehe ya mda mfupi sana, ila majuto yake yanadumu milele.
Ninapozungumzia majuto, nina maana hii.
Kuna kipindi mtu unashikwa na ugwagwadu wa maana mpaka ukiona midoli unatamani kuichakachua, sasa hali inawapataga wanaume tena inawafanya wanauza mechi kwa timu za ajabu.
Ndo chanzo kikubwa cha kupata magonjwa ya zinaa na kujikuta unafanya mapenzi na mtu usiyempenda kisa nyege za hatari.
Wengi wao leo wanaishi na watu wasiowapenda, kwa sababu ya tamaa za mapenzi.
Ukishafanya tu haya mapenzi na ukapinzi, akili ndo inakuja kichwani, ukiangalia pembeni, umefanya mapenzi na Chizi, Malaya, Shoga
Ndugu yako wa damu, Rafiki yako unamuheshimu.
Yote hayo kisa tamaa, nyege
Mapenzi ni starehe ya muda mfupi sana, tena ya kipumbavu sana, ila majuto yake ni ya mda mrefu sana.
Hakuna kitu kinakera kama umemuonga mwanamke pesa kibao, halafu unaenda kufanya mapenzi tena wavungu walivyokuwa hawana maana wanatoka chapu.
Ndugu zangu hakuna majuto mabaya kama kutembea na mtu usiyempenda yani kila saa ukifikiria unajikuta unatema mate chini, maana umenyonya mdomo wa mtu usiyempenda.
Approximately ndo yule yule..
Pale unapotaka kupizi lazima utafute mdomo ulipoUsiwe na unakula mate chapa mzigo sepa usije baka watoto
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wazungu nimekoseaUkipinzi huwa inatokea nini au kupinzi ndo kutoka wavungu.
Nafraisha genge ila uroda mtamu mazee.Wazungu nimekosea
Natumia ujana vinzuri haurudiKwani maisha si ndo hayahaya hayajawahi badilika.
Umejisahau mkuu poleDaa yaan ndio nimetokaa kuzin ss hv nakukutana na Uzi huu ..
Alafu nimeuzaa mechi ,nimefungwa 3 kwa 2 ,niombee mkuu
Unasemaaaaaa??? ongeza sautii mkuu....Bora kuambukizwa ngoma na usiempenda kuliko kuzaa na mwanamke chuma ulete mjuaji