Starehe ya muda mchache, majuto ya muda mrefu

Starehe ya muda mchache, majuto ya muda mrefu

Za nyieeeee..

Mapenzi, mapenzi, nakuita tena xxx.
Ni starehe ya mda mfupi sana, ila majuto yake yanadumu milele.

Ninapozungumzia majuto, nina maana hii.

Kuna kipindi mtu unashikwa na ugwagwadu wa maana mpaka ukiona midoli unatamani kuichakachua, sasa hali inawapataga wanaume tena inawafanya wanauza mechi kwa timu za ajabu.

Ndo chanzo kikubwa cha kupata magonjwa ya zinaa na kujikuta unafanya mapenzi na mtu usiyempenda kisa nyege za hatari.

Wengi wao leo wanaishi na watu wasiowapenda, kwa sababu ya tamaa za mapenzi.

Ukishafanya tu haya mapenzi na ukapinzi, akili ndo inakuja kichwani, ukiangalia pembeni, umefanya mapenzi na Chizi, Malaya, Shoga
Ndugu yako wa damu, Rafiki yako unamuheshimu.

Yote hayo kisa tamaa, nyege

Mapenzi ni starehe ya muda mfupi sana, tena ya kipumbavu sana, ila majuto yake ni ya mda mrefu sana.

Hakuna kitu kinakera kama umemuonga mwanamke pesa kibao, halafu unaenda kufanya mapenzi tena wavungu walivyokuwa hawana maana wanatoka chapu.

Ndugu zangu hakuna majuto mabaya kama kutembea na mtu usiyempenda yani kila saa ukifikiria unajikuta unatema mate chini, maana umenyonya mdomo wa mtu usiyempenda.

Approximately ndo yule yule..
Pole sana mkuu, kuwa muwazi tukusaidie namna ya kuishi na hiyo hali.
Kupata UKIMWI siyo mwisho wa maisha.
Naweza kukusaidia elimu ya namna ya kujikubali na maisha yako yakaendelea fresh kabisa, usikate tamaa.
 
Pole sana mkuu, kuwa muwazi tukusaidie namna ya kuishi na hiyo hali.
Kupata UKIMWI siyo mwisho wa maisha.
Naweza kukusaidia elimu ya namna ya kujikubali na maisha yako yakaendelea fresh kabisa, usikate tamaa.
Daah jamaa unanikatia tamaa hivi
 
Yaan bila kutaja Mashoga uzi wako haujakamilika? Ifikage tyme muwapumzishee,

Nyege mshindo zenu ndo muwalamu wenginee, mxxxxxieeeeeeew!!!
Bado unakuwa,yote hayo utayakuta time will tell nigger
 
Za nyieeeee..

Mapenzi, mapenzi, nakuita tena xxx.
Ni starehe ya mda mfupi sana, ila majuto yake yanadumu milele.

Ninapozungumzia majuto, nina maana hii.

Kuna kipindi mtu unashikwa na ugwagwadu wa maana mpaka ukiona midoli unatamani kuichakachua, sasa hali inawapataga wanaume tena inawafanya wanauza mechi kwa timu za ajabu.

Ndo chanzo kikubwa cha kupata magonjwa ya zinaa na kujikuta unafanya mapenzi na mtu usiyempenda kisa nyege za hatari.

Wengi wao leo wanaishi na watu wasiowapenda, kwa sababu ya tamaa za mapenzi.

Ukishafanya tu haya mapenzi na ukapinzi, akili ndo inakuja kichwani, ukiangalia pembeni, umefanya mapenzi na Chizi, Malaya, Shoga
Ndugu yako wa damu, Rafiki yako unamuheshimu.

Yote hayo kisa tamaa, nyege

Mapenzi ni starehe ya muda mfupi sana, tena ya kipumbavu sana, ila majuto yake ni ya mda mrefu sana.

Hakuna kitu kinakera kama umemuonga mwanamke pesa kibao, halafu unaenda kufanya mapenzi tena wavungu walivyokuwa hawana maana wanatoka chapu.

Ndugu zangu hakuna majuto mabaya kama kutembea na mtu usiyempenda yani kila saa ukifikiria unajikuta unatema mate chini, maana umenyonya mdomo wa mtu usiyempenda.

Approximately ndo yule yule..
Hahaha
 
Back
Top Bottom