Starehe ya mwili

iko hivi, sio kwamba had unipange ndio nikupee, sisi hatuko hivo anayekua anamtaka mwenzie anasema tu, ila sasa mwenzangu akiwa nazo nainjoi sana, full kubembeleza full mahaba yan yamezidii akiwa nazo ndio najiuliza why
ni nature ndio ilivyo, lazima kusindikizia na viuongo na vijistori vya hapa na pale, japo inategemea na wengine
 

Haya maswali ungeuliza baada ya kumsaidia kwanza jambo lake Baba Mwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…