Starehe ya mwili

Starehe ya mwili

iko hivi, sio kwamba had unipange ndio nikupee, sisi hatuko hivo anayekua anamtaka mwenzie anasema tu, ila sasa mwenzangu akiwa nazo nainjoi sana, full kubembeleza full mahaba yan yamezidii akiwa nazo ndio najiuliza why
ni nature ndio ilivyo, lazima kusindikizia na viuongo na vijistori vya hapa na pale, japo inategemea na wengine
 
Hivi ni kwa nn wanaume mkiwa na nyege mnakuaga so romantic? nimekaa nachat nashemej yenu najichekea jinsi anavyo respond yan yupo so romantic sababu ya nyee sasa nna kazi ya kuagiza vitu na yeye anaitika tu ntakuletea, nitakutumia au nitakupa, naogopa asije nihonga dunia mkakosa pa kukaa, mimi had nile nishibe halaf niwe idle ninakua na nyege kama zote sasa nawauliza nyie wanaume why mkiwa na nyege u romantic unazidi?

Haya maswali ungeuliza baada ya kumsaidia kwanza jambo lake Baba Mwana
 
Back
Top Bottom