Unatumiaga kinga lakini?!Aisee napenda sana ngono
Siwezi kumaliza Siku bila kufanya
Choi kang chiiKuangalia movies hasa za kikorea za Kijijini napenda sana
Weed hupend mkuuMmi napenda sana kunywa maji uvugu uvugu kuangalia matumbawe na kuangalia mawingu
Ww nzalendo kweli, mm napenda kwenda polini kutafuta Uyoga. Halafu hapo kwenye moto inanoga ukiwa unachoma na mahindiSTAREHE YANGU KUBWA NI KULALA NJE....USIKU NA KUWASHA MOTO MKUBWA,HASA PORINI NA VIJIJINI.🙂😎
K ile herufi auNapenda sana K,na ndo stareh pekee kwangu.
Karibu CHAPUTA[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Napenda sana kusali, music hasa hip-hop, country, internet, kucheza gemu hasa FiFA, nyeto uwii apo ndo mwisho wa matatizo....
duh kweli kuna watu wametoroka milembe kwa kweliMimi napenda sana bangi hats nisipi vuta nikiona watu wanavuta roho inatulia
Me napenda sana sana kupika.Hi chit chat
Kila binadamu naamini kipo kitu anachoenjoy kufanya
Binafsi napenda sana sana sanaaaa mziki ....hiyo ndiyo starehe yangu kubwa na huwa naenjoy sanaa
Wewe je?