Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Hip hop bongo ngumu sana acheni tu wabadilikeHakika Mkuu...
Kibongobongo napenda mziki wa Fid na vijana wa tamaduni(Nikki Mbishi,Songa,P the Mc) na wengine wachache wanaofata misingi ya hip-hop.
Tatizo linalokuja ni kwamba hata hao tunaowafatilia sometimes wanayumba vibaya.
Nikki Mbishi wa Kijusi sio huyu wa Kwa nini.
Songa wa Usiku sio wa Mwendo.
Wachache wamebaki kumaintain ladha zile zile mfano Fid na Nash MC.
Maana hata Roma wa mathematics sio wa kila kitu K