fanya kunifollow maana me sjui jinsi ya kumfollow m2 kwa hum JF.Hebu malizia kunifollow kabisa ili uwe updated na nini nafanya mana naona umepitia nyuzi zangu zote
@Joanah huendi mbinguni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu malizia kunifollow kabisa ili uwe updated na joanah mana naona umepitia nyuzi zangu zote
Mie siwezi kumfollow mtu ambaye sina interests nae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli, msikilize huenda ana shida kijana wa watuKapitia nyuzi zangu zote za tangu 2016 huko..na kila uzi kanionesha kapita kwa kuni quote [emoji23][emoji23][emoji23]
Anifollow tu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli, msikilize huenda ana shida kijana wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
So why umeniambia niku- follow?!!Mie siwezi kumfollow mtu ambaye sina interests nae
Hi chit chat
Kila binadamu naamini kipo kitu anachoenjoy kufanya
Binafsi napenda sana sana sanaaaa mziki ....hiyo ndiyo starehe yangu kubwa na huwa naenjoy sanaa
Wewe je?
ku- quote ama ku- like haimaniishi ndio kigezo cha mtu kuwa na interest nae.. me ni mtu ambae naependa ku- quote ama ku- like kama kitu kimenigusa au kumenihamasisha kufanya hivyo haijarishi ni cha mwaka gani..Nishamkaribisha PM ila naona kakosa pa kuanzia [emoji28]
Mie siwezi kumfollow mtu ambaye sina interests nae
Tuko pamojanapenda kula..hata nkiwana stress nasahau msongo wote....mengine ya ziada
Mimi napenda kuona mtoto mzuri kama wewe anatema maji kama cobra wakati nampiga brush!!!Hi chit chat
Kila binadamu naamini kipo kitu anachoenjoy kufanya
Binafsi napenda sana sana sanaaaa mziki ....hiyo ndiyo starehe yangu kubwa na huwa naenjoy sanaa
Wewe je?
ku- quote ama ku- like haimaniishi ndio kigezo cha mtu kuwa na interest nae.. me ni mtu ambae naependa ku- quote ama ku- like kama kitu kimenigusa au kumenihamasisha kufanya hivyo haijarishi ni cha mwaka gani..
joanah kutokuja kwang PM kwako haina maana kuwa siwezi maana kuja huko PM kwako wala silipii vat, ila naangalia ntakuja kuchat nn naww?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Starehe yangu kubwa NI kulenga shabaha, huwa nanunua risasi za kutosha kila mwisho wa wiki then naelekea target pale mbezi beach...masaa walau manne hivi basi rohoo kwatuuuuu buruuudani moyoni mwangu!!
me naijuaaaStarehe yangu kubwa mi hata sijui ni nini. Ila sio mademu