wanaume wachache wanaojua kucheza mziki sijui y..hongera
Unamatatizo Sana wewe mdadaMimi napendaa kushika shika matakoooo hasa ya wanawake weupe
Acha kupenda ngumiKuangalia movie hasa za kikorea ila ziwe za kijasusi au zile za kijijini, muda wowote nnaokua free ni kutizama movie
Kiubinadam hapa duniani Starehe kubwa kwangu ni Pesa, msosi na Papuchi.Hi chit chat
Kila binadamu naamini kipo kitu anachoenjoy kufanya
Binafsi napenda sana sana sanaaaa mziki ....hiyo ndiyo starehe yangu kubwa na huwa naenjoy sanaa
Wewe je?
Umenihamasisha aisemie namba 1 ni muziki mzuri..i mean napenda kucheza...
2.Napenda kupika na kula vzr
ππkwenye msos eh?aise napenda sana kupika vitu tofauti2!
Naona tunaendana mkuu, hiyo kitu naipenda mnoo angalau mara 3 kwa wiki.Aisee napenda sana ngono
Siwezi kumaliza Siku bila kufanya
Teh TehMimi napendaa kushika shika matakoooo hasa ya wanawake weupe
Hebu itaje [emoji23]me naijuaaa
Huu wimbo nimeurudia rudia mara kadha leo wakati natoka kaziniwanaume wachache wanaojua kucheza mziki sijui y..hongera
Aiseeh..."Mimi nafikiri kwa mimi upande wangu"
American movie only yaani uwezi amini hata demu kwangu "nothing"
Dogo na wewe ni team Alteza ?Street Racing & Drifting... Dah.. inanilia sana Hela.. Tunawekeana hela mshindi anachukua... Naliwa sana.. Na kuchakaza matairi kisa sifa.. Dah.. life goes on
Sent using Jamii Forums mobile app