Starlet zimeishia wapi na kwanini wakati ipo economy?

Starlet zimeishia wapi na kwanini wakati ipo economy?

Russia is not your enemy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2023
Posts
373
Reaction score
625
Ndg wana izengo habari za wakati huu.

Katika kuyaanza maisha wengi walianza na starlet kijichuma kidogo dogo very economy.

Hivi vimeishia wapi? Wengi walioanza na usafiri mara baada ya kuhitimu na kukwaa ajira walikamata hivi vidude, nilikuwa nikiwaza kwa nn wajuba wanachukua vibati hivi?

Jibu sikiwa nalo, binafsi niliona vyuma vyuma vya maana kununua ni premio na balloon na gx100 wakati ule. Sikuwa mpenzi wa Carina au Corolla almaarufu TI.

Hizo zingine zipo moja moja lkn yapata mwaka sasa sioni starlet. Vimeishia wapi, wkati watu wakiwa wanahangaika na vitz IST nk wadudu wale bado walikuwa economy sana??.
 
Ndg wana izengo habari za wakati huu.

Katika kuyaanza maisha wengi walianza na starlet kijichuma kidogo dogo very economy.

Hivi vimeishia wapi? Wengi walioanza na usafiri mara baada ya kuhitimu na kukwaa ajira walikamata hivi vidude, nilikuwa nikiwaza kwa nn wajuba wanachukua vibati hivi?

Jibu sikiwa nalo, binafsi niliona vyuma vyuma vya maana kununua ni premio na balloon na gx100 wakati ule. Sikuwa mpenzi wa Carina au Corolla almaarufu TI.

Hizo zingine zipo moja moja lkn yapata mwaka sasa sioni starlet. Vimeishia wapi, wkati watu wakiwa wanahangaika na vitz IST nk wadudu wale bado walikuwa economy sana??.

Nothing will last forever no matter what

“Muda ni mwalimu mzuri sana”
 
Ndg wana izengo habari za wakati huu.

Katika kuyaanza maisha wengi walianza na starlet kijichuma kidogo dogo very economy.

Hivi vimeishia wapi? Wengi walioanza na usafiri mara baada ya kuhitimu na kukwaa ajira walikamata hivi vidude, nilikuwa nikiwaza kwa nn wajuba wanachukua vibati hivi?

Jibu sikiwa nalo, binafsi niliona vyuma vyuma vya maana kununua ni premio na balloon na gx100 wakati ule. Sikuwa mpenzi wa Carina au Corolla almaarufu TI.

Hizo zingine zipo moja moja lkn yapata mwaka sasa sioni starlet. Vimeishia wapi, wkati watu wakiwa wanahangaika na vitz IST nk wadudu wale bado walikuwa economy sana??.
Toyota pale nyerere rd inauzwa 30m zero kilometer, toleo 2021/2 nadhani
 
hamna kitu kama hicho...
7B5FF462-030D-4F07-A5D1-3C1277DF7286.jpeg
 
Toyota wamekuboreshea kuroka starlet mpk runx au allex hizo ni starlet kabisaaaa ila za kisasa kwendana na wakati. Tuishi humo
Nina ki allex nimekinunua two weeks ago kina fuel consumption nzuri kistarlet cha kisasa
 
Back
Top Bottom