Starlink wamekuja mara mbili kuomba kutuletea huduma ya internet lakini wanazungushwa, kuna ugali wa mtu unaguswa?

Starlink wamekuja mara mbili kuomba kutuletea huduma ya internet lakini wanazungushwa, kuna ugali wa mtu unaguswa?

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Ni huduma yenye uwezo wa kuponya ukosefu wa internet vijijini, maporini, milimani, ziwani, n.k. ukizingatia kwamba makampuni ya mitandao ya simu yameshindwa kufikisha huduma katika maeneo ya mbali.

Kwa mara ya kwanza walikuja Tanzania bila mafanikio, waziri wa kipindi hicho Nape Nnauye alitoa sababu hawakuwakatalia starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe, wengi tulipigwa na butwa kwasababu starlink walivyoondoka na kwenda Kenya wakapewa vibali bila shida na serikali ya Kenya kushukuru ujio wao utaopanua upatikanaji wa internet na kuleta ushindani utaoboresha huduma kwa makampuni ya mitandao ya simu

1738848747607.png


Round ya pili wakarudi tena, ombi lao la kuomba leseni lilichapishwa lakini hadi sasa kuna kimya cha usiku wa manane

1738847069079.png
 
Ni huduma yenye uwezo wa kuponya ukosefu wa internet vijijini, maporini, milimani, ziwani, n.k. ukizingatia kwamba makampuni ya mitandao ya simu yameshindwa kufikisha huduma katika maeneo ya mbali.

Kwa mara ya kwanza walikuja Tanzania bila mafanikio, waziri wa kipindi hicho Nape Nnauye alitoa sababu hawakuwakatalia starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe, wengi tulipigwa na butwa kwasababu starlink walivyoondoka na kwenda Kenya wakapewa vibali bila shida na serikali ya Kenya kushukuru ujio wao utaopanua upatikanaji wa internet na kuleta ushindani utaoboresha huduma kwa makampuni ya mitandao ya simu

Round ya pili wakarudi tena, ombi lao la kuomba leseni lilichapishwa lakini hadi sasa kuna kimya cha usiku wa manane

View attachment 3226947
Tanzania wenye akili walishaenda likizo saivi nchi inaongozwa na Wanasiasa Vilaza.
 
Ni huduma yenye uwezo wa kuponya ukosefu wa internet vijijini, maporini, milimani, ziwani, n.k. ukizingatia kwamba makampuni ya mitandao ya simu yameshindwa kufikisha huduma katika maeneo ya mbali.

Kwa mara ya kwanza walikuja Tanzania bila mafanikio, waziri wa kipindi hicho Nape Nnauye alitoa sababu hawakuwakatalia starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe, wengi tulipigwa na butwa kwasababu starlink walivyoondoka na kwenda Kenya wakapewa vibali bila shida na serikali ya Kenya kushukuru ujio wao utaopanua upatikanaji wa internet na kuleta ushindani utaoboresha huduma kwa makampuni ya mitandao ya simu

View attachment 3226961

Round ya pili wakarudi tena, ombi lao la kuomba leseni lilichapishwa lakini hadi sasa kuna kimya cha usiku wa manane

View attachment 3226947
Huyu Jabir ameshakuwa msanii naye, ana hofu gani wakati ni mtaalam wa cyber security?
 
Labda
Ni huduma yenye uwezo wa kuponya ukosefu wa internet vijijini, maporini, milimani, ziwani, n.k. ukizingatia kwamba makampuni ya mitandao ya simu yameshindwa kufikisha huduma katika maeneo ya mbali.

Kwa mara ya kwanza walikuja Tanzania bila mafanikio, waziri wa kipindi hicho Nape Nnauye alitoa sababu hawakuwakatalia starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe, wengi tulipigwa na butwa kwasababu starlink walivyoondoka na kwenda Kenya wakapewa vibali bila shida na serikali ya Kenya kushukuru ujio wao utaopanua upatikanaji wa internet na kuleta ushindani utaoboresha huduma kwa makampuni ya mitandao ya simu

View attachment 3226961

Round ya pili wakarudi tena, ombi lao la kuomba leseni lilichapishwa lakini hadi sasa kuna kimya cha usiku wa manane

View attachment 3226947
 
Ni huduma yenye uwezo wa kuponya ukosefu wa internet vijijini, maporini, milimani, ziwani, n.k. ukizingatia kwamba makampuni ya mitandao ya simu yameshindwa kufikisha huduma katika maeneo ya mbali.

Kwa mara ya kwanza walikuja Tanzania bila mafanikio, waziri wa kipindi hicho Nape Nnauye alitoa sababu hawakuwakatalia starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe, wengi tulipigwa na butwa kwasababu starlink walivyoondoka na kwenda Kenya wakapewa vibali bila shida na serikali ya Kenya kushukuru ujio wao utaopanua upatikanaji wa internet na kuleta ushindani utaoboresha huduma kwa makampuni ya mitandao ya simu

View attachment 3226961

Round ya pili wakarudi tena, ombi lao la kuomba leseni lilichapishwa lakini hadi sasa kuna kimya cha usiku wa manane
Fanya uchunguzi wako kimya kimya ukishajua kuwa Vodacom na Tigo/Yasinta zinamilikiwa na akina nani ndio utagundua kuwa ni kwa nini Starlink haipewi vibali na TCRA. Chezea njano njano na kijani veve.
 
Waafrika kupenda ushabiki , mnataka kila kitu amiliki Elon Musk ? Maana jamaa kila soko anavamia mpaka cryptos .

Wapeni kila kitu , watu wanalinda masoko ya ndani .Kampuni hizo za ndani zinatoa gawio kwa serikali na kusaidia kwenye mambo ya kijaa , sasa mleteni huyo mzungu ...Mtaanza kwa kusema ''wenzetu wa nchi fulani wanapata huduma as if kama unajua sasa '' mambo ni yale yale...

Acha ushabiki sio lazima watafute nchi nyingine.
 
Waambie watoe rushwa watapata kibali
unapewa misaada afu unaambiwa, 'tumia utakavyo' ww huoni hio ndio rushwa yenyewe?

sasa wanaenda kutumia fimbo badala ya karoti, ni hv bana, USAID haifii kama tunavyoaminishwa wanabadilisha namna tu na wenyewe wapate kula.

Unakumbuka mambo ya uwekezaji yalivyohamishiwa ikulu? Basi chukulia hilo ndilo linaloenda kutokea marekani. Hivi sasa Acting Director ni Waziri wa Mambo ya nje. maombi yote yanapitia kwake.

Aidha uungane naye ama ujifie kifudu tu kwa kuomba omba.
 
Viongozi wetu ni wafanya biashara, hivyo wanaweka maslahi ya bishara zao mbele badala ya maslahi ya taifa.

No wonder walilichukia Azimio la Arusha.
 
Ni huduma yenye uwezo wa kuponya ukosefu wa internet vijijini, maporini, milimani, ziwani, n.k. ukizingatia kwamba makampuni ya mitandao ya simu yameshindwa kufikisha huduma katika maeneo ya mbali.

Kwa mara ya kwanza walikuja Tanzania bila mafanikio, waziri wa kipindi hicho Nape Nnauye alitoa sababu hawakuwakatalia starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe, wengi tulipigwa na butwa kwasababu starlink walivyoondoka na kwenda Kenya wakapewa vibali bila shida na serikali ya Kenya kushukuru ujio wao utaopanua upatikanaji wa internet na kuleta ushindani utaoboresha huduma kwa makampuni ya mitandao ya simu

View attachment 3226961

Round ya pili wakarudi tena, ombi lao la kuomba leseni lilichapishwa lakini hadi sasa kuna kimya cha usiku wa manane

View attachment 3226947
Hao Starlink mbona kama wana tulazimisha kwani wana maskahi gani?
 
Back
Top Bottom