round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Ni huduma yenye uwezo wa kuponya ukosefu wa internet vijijini, maporini, milimani, ziwani, n.k. ukizingatia kwamba makampuni ya mitandao ya simu yameshindwa kufikisha huduma katika maeneo ya mbali.
Kwa mara ya kwanza walikuja Tanzania bila mafanikio, waziri wa kipindi hicho Nape Nnauye alitoa sababu hawakuwakatalia starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe, wengi tulipigwa na butwa kwasababu starlink walivyoondoka na kwenda Kenya wakapewa vibali bila shida na serikali ya Kenya kushukuru ujio wao utaopanua upatikanaji wa internet na kuleta ushindani utaoboresha huduma kwa makampuni ya mitandao ya simu
Round ya pili wakarudi tena, ombi lao la kuomba leseni lilichapishwa lakini hadi sasa kuna kimya cha usiku wa manane
Kwa mara ya kwanza walikuja Tanzania bila mafanikio, waziri wa kipindi hicho Nape Nnauye alitoa sababu hawakuwakatalia starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe, wengi tulipigwa na butwa kwasababu starlink walivyoondoka na kwenda Kenya wakapewa vibali bila shida na serikali ya Kenya kushukuru ujio wao utaopanua upatikanaji wa internet na kuleta ushindani utaoboresha huduma kwa makampuni ya mitandao ya simu
Round ya pili wakarudi tena, ombi lao la kuomba leseni lilichapishwa lakini hadi sasa kuna kimya cha usiku wa manane