Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Usifanye hivyo... Mwigulu lazima atachungulia uchochoro apitishe tozo!📌📌📌SIKU WAKIPEWA TU ACCESS NATAFUNA LINE ZA MITANDAO YA BONGO ZOTE🤗🤗🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usifanye hivyo... Mwigulu lazima atachungulia uchochoro apitishe tozo!📌📌📌SIKU WAKIPEWA TU ACCESS NATAFUNA LINE ZA MITANDAO YA BONGO ZOTE🤗🤗🤗
Starlink ni threat kwa baadhi ya maeneo siyo ya kukurupukia kutumia!ukosefu wa internet vijijini, maporini, milimani, ziwani, n.k. ukizingatia kwamba makampuni ya
Nani alikuambia hizi zilizopo ni kampuni za ndani ukitoa TTCL..Hayo makampuni yote ni ya kigeni yanavuna manoti..hiyo starlink na yenyewe ije TU , mwenye huduma nzuri achukue sokoWaafrika kupenda ushabiki , mnataka kila kitu amiliki Elon Musk ? Maana jamaa kila soko anavamia mpaka cryptos .
Wapeni kila kitu , watu wanalinda masoko ya ndani .Kampuni hizo za ndani zinatoa gawio kwa serikali na kusaidia kwenye mambo ya kijaa , sasa mleteni huyo mzungu ...Mtaanza kwa kusema ''wenzetu wa nchi fulani wanapata huduma as if kama unajua sasa '' mambo ni yale yale...
Acha ushabiki sio lazima watafute nchi nyingine.
JAMBAZI ROSTAM AZIZI NDIYE ANAYE KWAMISHA HIYO STARLINKNi huduma yenye uwezo wa kuponya ukosefu wa internet vijijini, maporini, milimani, ziwani, n.k. ukizingatia kwamba makampuni ya mitandao ya simu yameshindwa kufikisha huduma katika maeneo ya mbali.
Kwa mara ya kwanza walikuja Tanzania bila mafanikio, waziri wa kipindi hicho Nape Nnauye alitoa sababu hawakuwakatalia starlink kufanya kazi Nchini, walikwama wenyewe, wengi tulipigwa na butwa kwasababu starlink walivyoondoka na kwenda Kenya wakapewa vibali bila shida na serikali ya Kenya kushukuru ujio wao utaopanua upatikanaji wa internet na kuleta ushindani utaoboresha huduma kwa makampuni ya mitandao ya simu
View attachment 3226961
Round ya pili wakarudi tena, ombi lao la kuomba leseni lilichapishwa lakini hadi sasa kuna kimya cha usiku wa manane
View attachment 3226947
Unajua starlink inavyoendeshwa? Unajua mchango wa haya makampuni ?Nani alikuambia hizi zilizopo ni kampuni za ndani ukitoa TTCL..Hayo makampuni yote ni ya kigeni yanavuna manoti..hiyo starlink na yenyewe ije TU , mwenye huduma nzuri achukue soko