Starlink wamekuja mara mbili kuomba kutuletea huduma ya internet lakini wanazungushwa, kuna ugali wa mtu unaguswa?

Nani alikuambia hizi zilizopo ni kampuni za ndani ukitoa TTCL..Hayo makampuni yote ni ya kigeni yanavuna manoti..hiyo starlink na yenyewe ije TU , mwenye huduma nzuri achukue soko
 
JAMBAZI ROSTAM AZIZI NDIYE ANAYE KWAMISHA HIYO STARLINK
 
Subiri uchaguzi upite .. tunataka mtandao ambao tunaweza kuudhibiti
 
Nani alikuambia hizi zilizopo ni kampuni za ndani ukitoa TTCL..Hayo makampuni yote ni ya kigeni yanavuna manoti..hiyo starlink na yenyewe ije TU , mwenye huduma nzuri achukue soko
Unajua starlink inavyoendeshwa? Unajua mchango wa haya makampuni ?

Nchi ngapi Zina starlink mpaka Sasa? Hyo starlink Haina kipya kama hujui basi.
 
Elon Musk sio mtu wa kumuamini sana, ufanyike uchambuzi wa kina kama huduma yake haitaingilia na siasa zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ