Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Sioni sababu kubwa ya kupeleka mechi Zanzbar. Labda anayejua atujuze.
Kwa sababu ni timu ya taifa la Tanzania...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sioni sababu kubwa ya kupeleka mechi Zanzbar. Labda anayejua atujuze.
Samatta nae anacheza ligi ya ndani!?wadau samatA ndan kesho au ?
Taifa Stars ikitaka kushinda kesho ipangew hivi:
(1) Mwadini Ally
(2) S Kapombe
(3) Mwinyi Haji
(4) H Isihaka
(5) Nadir H
(6) J Mkude
(7) S Mdelwa
(8) A Banda
(9) S. Msuva
(10) A Kiemba
(11) Kelvin F
Sub: H. Dilunga, A. Green & R Mandawa
Mwadini Ally ana uwezo gani wa kumuweka nje Aishi Manula!!!
Au Kiemba amefanya nini kwenye ligi iliyoisha mpaka umpange yeye halafu umuwache nje Rashidi Mandawa??!
Kumbe na wewe uliepanga kikosi hapo juu hauna utofauti na kocha Mart Nooij.