Stars kuwakabili Uganda kesho Zanzibar

Stars kuwakabili Uganda kesho Zanzibar

wadau samatA ndan kesho au ?
Samatta nae anacheza ligi ya ndani!?
Halafu hata huyo samatta angecheza unadhani yeye ndo angebadilisha matokeo!!
Hata tuwe na ronaldo na messi kwenye timu yetu bado haitasaidia kitu.
 
Taifa Stars ikitaka kushinda kesho ipangew hivi:

(1) Mwadini Ally
(2) S Kapombe
(3) Mwinyi Haji
(4) H Isihaka
(5) Nadir H
(6) J Mkude
(7) S Mdelwa
(8) A Banda
(9) S. Msuva
(10) A Kiemba
(11) Kelvin F

Sub: H. Dilunga, A. Green & R Mandawa

Mwadini Ally ana uwezo gani wa kumuweka nje Aishi Manula!!!
Au Kiemba amefanya nini kwenye ligi iliyoisha mpaka umpange yeye halafu umuwache nje Rashidi Mandawa??!

Kumbe na wewe uliepanga kikosi hapo juu hauna utofauti na kocha Mart Nooij.
 
Mwadini Ally ana uwezo gani wa kumuweka nje Aishi Manula!!!
Au Kiemba amefanya nini kwenye ligi iliyoisha mpaka umpange yeye halafu umuwache nje Rashidi Mandawa??!

Kumbe na wewe uliepanga kikosi hapo juu hauna utofauti na kocha Mart Nooij.



OK. Tutamweka A Kiemba nje lakini at least alijaribu kwenye kipindi cha kwanza vs Egypt kwa kupiga shoots.

Rashid Mandawa ndani. sasa tutashinda?
 
Back
Top Bottom