STARS kuwavaa Madagascar leo

Hii timu haieleweki ni sayari ya ngapi,yaani ni kama vijana wamekutana na kuingia uwanjani utadhani ni maveterani ...mtangazaji anasema 30mns no shot on goal from Tz side,Kocha kaharibu na Mara hii tunakuwa Wa 200 kwenye rank

Ahaahaaaahaaaaa....
Maveterani kutoka Tanzania
 
hili timu linakera kwa kweli
oscar joshua sijui wametumia vigezo gani kuitwa national team
 
Na hapo imekaa kambi Botswana..Tukuyu..na itaenda Ethiopia..kuikabili Misri..teh teh teh..
 
Mbona lilikuwa wazi timu imeenda kufanya shopping.
 
hiyo sio timu ni mabishoo tu wameenda kuuza sura....kila mmoja anataka aonekane, bora wangeenda twiga stars
 
huyu kocha hamnazo anamtoa ngassa aliekuwa anasumbua kidogo na kumuacha bocco na luizio wanaozurura tu uwanjani
 


mshajambiwa huko...
 
Haha hili likocha Sijui TFF wamelitoa Wapi.....kwanini hwakumuacha Kim angalau timu ilieleweka?
 
Tatizo ni kocha, hivi kwa nini tusimuazime babu wa Yanga? maana tuwe wakweli, ameikuta Yanga inacheza hovyo, akafanya kazi nzito, na kweli tumeona mabadiliko makubwa katika kupanga mashambuli, na kujilinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…