Stars/Msumbiji Live update!

Stars/Msumbiji Live update!

Sijui kwanini leo ninaimani na kikosi cha Taifa Stars jkama kitapangwa hivi... 1.JUma kaseja 2.Sajingwa 2.Mwasigwa 4.Juma Nyoso 5.....(AZAM) 6.....(Mtibwa) 7. Mrisho Ngasa 8. N. Khalifan 9. John Boko 10. Abdi Kassim 11. Hussein Javu
 
hakuna cha samata wala nanui arifu......wachezaji stars hakuna anaejituma ni kama wamerogwa.....mazoezi hawafanyi iweje washinde bana...... nashabikia msumbiji.....
Na hili ndiyo tatizo kubwa....
 
Sijui kwanini leo ninaimani na kikosi cha Taifa Stars jkama kitapangwa hivi... 1.JUma kaseja 2.Sajingwa 2.Mwasigwa 4.Juma Nyoso 5.....(AZAM) 6.....(Mtibwa) 7. Mrisho Ngasa 8. N. Khalifan 9. John Boko 10. Abdi Kassim 11. Hussein Javu

nmesikia wanasema eti boko katemwa. pale mbele atakuwepo Samata. katikati atakamata nizar alfan.
 
Sasa kaeni mguu upande brass bendi inaanza kupasha kwa ajili ya nyimbo za taifa, nikisema mguu sawa...Mungu ibariki Aaafriikaa, Wabarikii viongozi wakeee.... (ila viongozi mafisadi Noo plz!!)
 
OFFICIAL
Taifa Stars: Juma Kaseja 1,Shadrack Nsajigwa 14, Stephen Mwasika 3,Juma Nyoso 4
Aggrey Morris 6,Shabani Nditi 19, Nizar Khalfan 16, Mwinyi Kazimoto 15, John Bocco 9
Abdi Kassim 13,Vincent Barnabas 17
Substitutes:
Mwadini Ally 18, Shomari Kapombe 20,Waziri Salum 21,Salum Abubakar 11,Mrisho Ngassa 8,Hussein Javu 12 na Nsa Job 10
 
OFFICIAL
Taifa Stars: Juma Kaseja 1,Shadrack Nsajigwa 14, Stephen Mwasika 3,Juma Nyoso 4
Aggrey Morris 6,Shabani Nditi 19, Nizar Khalfan 16, Mwinyi Kazimoto 15, John Bocco 9
Abdi Kassim 13,Vincent Barnabas 17
Substitutes:
Mwadini Ally 18, Shomari Kapombe 20,Waziri Salum 21,Salum Abubakar 11,Mrisho Ngassa 8,Hussein Javu 12 na Nsa Job 10
Kweli binafsi tukifungwa imefungwa Taifa stars ila sijui kwanini Sabmatta ahajaitwa ila timu ni nzuri wakijituma tunashinda...
 
Sasa kaeni mguu upande brass bendi inaanza kupasha kwa ajili ya nyimbo za taifa, nikisema mguu sawa...Mungu ibariki Aaafriikaa, Wabarikii viongozi wakeee.... (ila viongozi mafisadi Noo plz!!)

Kuna haja ya kuu fanyia remix…hahahaha
 
Mpira utaonyeshwa star tv. sasa hivi ndo wanamaliza kuimba nyimbo za taifa.
 
Mungu ibarik Tz, maana machungu ya MARATHON bado hayajaisha.
 
Mungu ibarik Tz, maana machungu ya MARATHON bado hayajaisha.
Achaneni utani na Mungu aiseeee......yaani akubalikini kwa lipi aisee? mnategemea miujiza eti leo mshinde? hell noooo......mnapigwa zaidi ya 2....
 
yaani hawa taifa starz ni wa kupigwa kama paka mwizi
 
mambaz piga taifa star migoli ka 8 hivi .....tuko nyuma yenu kuwashangilia ....usiogope ukubwa wa samaki ulizeni bei tu ...
 
Back
Top Bottom