nina imani Taifa Stars........mfano wakiingia hawa kwa mpigo lazima kieleweke..........Mungu ibariki Tanzania na uwalaaaaaaaaaaaani mafisadiOFFICIAL
Taifa Stars: Juma Kaseja 1,Shadrack Nsajigwa 14, Stephen Mwasika 3,Juma Nyoso 4
Aggrey Morris 6,Shabani Nditi 19, Nizar Khalfan 16, Mwinyi Kazimoto 15, John Bocco 9
Abdi Kassim 13,Vincent Barnabas 17
Substitutes:
Mwadini Ally 18, Shomari Kapombe 20,Waziri Salum 21,Salum Abubakar 11,Mrisho Ngassa 8,Hussein Javu 12 na Nsa Job 10
nina imani Taifa Stars........mfano wakiingia hawa kwa mpigo lazima kieleweke..........Mungu ibariki Tanzania na uwalaaaaaaaaaaaani mafisadi
Staz 0 - 1 msumbiji
msumbiji amepata goli dakika ya 25 kupitia kwa KEISIO BAKE.
TANZANIA 0 - 1 MSUMBIJI
taifa stars akishinda leo najiuzuru kuingia JF for 1 week.....LAZIMA MFUNGWE.....
duh hapa inabidi nitafute hedex maana nikisema nipate viloba nitapandwa jaziba