Stars VS zimbabwe

Stars VS zimbabwe

PAZIA 3

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
1,102
Reaction score
1,919
Mechi itaanza saa 2:00 usiku,tutarajie makubwa
==
Unaweza fatilia kupitia @TAIFASTARS twiter.
==
FT: Zimbabwe 1- 1 Stars
Shukran nyingi kwa SAMAGOAL
aliyetokea bench
 
Tutawapiga goli 2 au 3

Wakikaza sanaa watadraw.
 
Ile timu inajua mpira sana, tunaweza kupigwa kipigo cha mabao mengi.
Hahahaha, kuna siku niko hapa Lubumbashi na wacongo man , siku hy kulikua na mechi za makundi Zimbabwe na RDC ,RDC wako uwanja wa nyumbani Kinshasa ,

Nikawaambia Zimbabwe wanawafunga hawa jamaa wanajua sana na wengi wako south Africa wanacheza first eleven timu zao ,ukawa ubishi ,dakika 90 zinaisha Zimbabwe 2- 1 RDC ,hawakuamini
 
Hahahaha, kuna siku niko hapa Lubumbashi na wacongo man , siku hy kulikua na mechi za makundi Zimbabwe na RDC ,RDC wako uwanja wa nyumbani Kinshasa ,

Nikawaambia Zimbabwe wanawafunga hawa jamaa wanajua sana na wengi wako south Africa wanacheza first eleven timu zao ,ukawa ubishi ,dakika 90 zinaisha Zimbabwe 2- 1 RDC ,hawakuamini
Ni moja ya timu nzuri sana kusini mwa jangwa la Sahara.
 
Back
Top Bottom