Hivi taifa stars waache kujitetea, waseme tu wanapaswa kuwekeza zaidi.
Kule kwa waarabu waliona wamefanyiwa tricks nyingi, mara Mpira unadunda sasa hii ya kuchapwa na Ethiopia, baridi iliwachosha. Kwa nini hawakujifulia Arusha au Iringa?
Pia wamefungwa kwa penalties sasa hiyo baridi inaingiaje? Wajifue na wajitoe zaidi tu banaa
Kule kwa waarabu waliona wamefanyiwa tricks nyingi, mara Mpira unadunda sasa hii ya kuchapwa na Ethiopia, baridi iliwachosha. Kwa nini hawakujifulia Arusha au Iringa?
Pia wamefungwa kwa penalties sasa hiyo baridi inaingiaje? Wajifue na wajitoe zaidi tu banaa