mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Achana na bei za vifurushi,achana na kuondoa local Chanel kwenye fta.
Leo kupitia Chanel yao ya Tv3 walikua wakionesha mpira Kati ya Simba na raja,,wakati kipindi Cha pili kinaanza hawakurudi uwanjani mapema walidelay for 19 minutes,,,na bado hawajatolea ufafanuzi Wala kutuomba msamaha wateja wao ..
Kwahili uongozi wa Startime wawajibike ikiwezekana watufidie hasara na watuombe msamaha haraka sana
Leo kupitia Chanel yao ya Tv3 walikua wakionesha mpira Kati ya Simba na raja,,wakati kipindi Cha pili kinaanza hawakurudi uwanjani mapema walidelay for 19 minutes,,,na bado hawajatolea ufafanuzi Wala kutuomba msamaha wateja wao ..
Kwahili uongozi wa Startime wawajibike ikiwezekana watufidie hasara na watuombe msamaha haraka sana