StarTimes Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 260
- 141
Ili kuwezesha huduma zetu kupatikana, maeneo yote ya Dar es Salaam, startimes inategemea kuzindua huduma ya satellite dish ambayo itatoa fursa kwa wakazi wote wa Tanzania kupata huduma za startimes. Chanel katika receiver za satellite receiver zitakuwa ni nyingi zaidi ya hizi zilizo katika mfumo wa DTT
Pia Startimes tumefanikiwa kuinunua kampuni ya TOP TV ya africa kusini na hivyo kufanya huduma za startimes kuanza kupatikana pia SOUTH AFRICA. Kwa mantiki hiyo huduma za startimes kwa sasa zinapatikana katika nchi zisizopungua 15 Africa na tunategemea kufungua huduma zetu katika nchi nyingine
Pia tumefanikiwa kuanzisha huduma ya MOBILE tv Kwa mkoa wa Dar es Salaam pia Arusha na tunategemea huduma hii kuenea tanzania mzima.
Pia Startimes tumefanikiwa kuinunua kampuni ya TOP TV ya africa kusini na hivyo kufanya huduma za startimes kuanza kupatikana pia SOUTH AFRICA. Kwa mantiki hiyo huduma za startimes kwa sasa zinapatikana katika nchi zisizopungua 15 Africa na tunategemea kufungua huduma zetu katika nchi nyingine
Pia tumefanikiwa kuanzisha huduma ya MOBILE tv Kwa mkoa wa Dar es Salaam pia Arusha na tunategemea huduma hii kuenea tanzania mzima.