Tetesi: Startimes kuondoa channel za ITV, EATV na Star tv kwenye kisimbusi chao

Tetesi: Startimes kuondoa channel za ITV, EATV na Star tv kwenye kisimbusi chao

Duuuuh wakati wamepandishaa ving`amuzi vyao mpka 99000 elfu na hapo hamna antena wala waya
 
Comrade
Nipe direction ya namna ya kupata
Maana Nchi imekuwa haina USIMAMIZI mzuri kabisaa
Kama upo Dar nenda Kariakoo, nyuma ya jengo la Simba SC, kuna maduka yanauza FTA receivers na madishi y makubwa, ni ghali kidogo kwa maana ya bei ya dish, receiver na installation ila ukishalifunga ndio basi.
 
Hivi niulize
Zile investments walizofanya watu kwenye media wanazipeleka wapi maana sa hivi hawaoneshi chochote
Vipi kuhusu walioajiriwa sekta hiyo kwenye hizo kampun binafsi za media mkate wao wataupatia wapi kwa mabadiliko hayo ya ghafla maana sidhan media ka itakubal kuwalipa ilhal hawaingizi chochote
Jaman hebu tulichambua hili jambo kwa uyakinifu
 
Wanavyosema: Local Channels kuondolewa kwenye Star times baada ya kuondolewa kwenye visimbuzi vya Dstv na Azam Tv.

Tunavyoelewa: Jiwe ameamua kubana uhuru wa habari ili wananchi tuendelee kuwa mazwazwa.
inawezekana ikawa ni hivyo, lakini hayo yanafanyika kisheria,,? au ni kuburuzwa tu kama mizoga,,
 
Kama upo Dar nenda Kariakoo, nyuma ya jengo la Simba SC, kuna maduka yanauza FTA receivers na madishi y makubwa, ni ghali kidogo kwa maana ya bei ya dish, receiver na installation ila ukishalifunga ndio basi.
Makadirio ya awali ni kama kias gani nijipange kabisa

Shukuran kwa info
 
Makadirio ya awali ni kama kias gani nijipange kabisa

Shukuran kwa info
Receiver ni 120,000 au zaidi kulingana na receiver.
Dish 6' ni 180,000, 8' ni 300,000
Installation ni 50,000 au zaidi kutegemeana na LNB ngapi unafunga
LNB moja ni 10,000
Cable....

Baada ya hapo umemaliza.
 
Kama upo Dar nenda Kariakoo, nyuma ya jengo la Simba SC, kuna maduka yanauza FTA receivers na madishi y makubwa, ni ghali kidogo kwa maana ya bei ya dish, receiver na installation ila ukishalifunga ndio basi.
Total cost+installation kama sh. Ngapi hivi mkuu?
 
Back
Top Bottom