Zipo bado kweli
Nunueni FTA receivers+6/8ft dish mtazame chaneli za nyumbani bure kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nunueni FTA receivers+6/8ft dish mtazame chaneli za nyumbani bure kabisa.
bado sijang'amua hasa mwisho wa haya yote ni nini,,!
Tibisiiiii ila yenyewe ipo au ?
Hivi mpaka sasa hajapatikana hata waziri mmoja tu mwenye akili akaona umuhimu wa kupeleka mswada wa kubadilisha hizi sheria kandamizi zinazokiuka haki za kutoa na kupokea habari???
North Korea wameweza sababu wana miliki mifumo yao tofauti inayojitegemea na aingiliani,Wanavyosema: Local Channels kuondolewa kwenye Star times baada ya kuondolewa kwenye visimbuzi vya Dstv na Azam Tv.
Tunavyoelewa: Jiwe ameamua kubana uhuru wa habari ili wananchi tuendelee kuwa mazwazwa.
Zinauzwaje hizi?Nunueni FTA receivers+6/8ft dish mtazame chaneli za nyumbani bure kabisa.
Option ya antenna ina unafuu sana. Me nimetumia 22,000. Antenna + wire 17,000, fundi 5000. Sasa hivi nakula slope tu, uzuri matangazo hayakati ata lijae wingu kama lote.Receiver ni 120,000 au zaidi kulingana na receiver.
Dish 6' ni 180,000, 8' ni 300,000
Installation ni 50,000 au zaidi kutegemeana na LNB ngapi unafunga
LNB moja ni 10,000
Cable....
Baada ya hapo umemaliza.
Uongo! Mbona hata hamuogopi dhambi ya kusema uongo?Wanavyosema: Local Channels kuondolewa kwenye Star times baada ya kuondolewa kwenye visimbuzi vya Dstv na Azam Tv.
Tunavyoelewa: Jiwe ameamua kubana uhuru wa habari ili wananchi tuendelee kuwa mazwazwa.
Ndio, hiyo niliisahau na ni cheap Kwa maana utapata local channel tu. Ila haikupi option nyingine kama kuwa na satellite nyingi na uwezo wa kufunga lnbf zaidi ya moja.Option ya antenna ina unafuu sana. Me nimetumia 22,000. Antenna + wire 17,000, fundi 5000. Sasa hivi nakula slope tu, uzuri matangazo hayakati ata lijae wingu kama lote.
Hapa ndo utaona jinsi mambo yanavyoendeshwa kiholela..azam walikuwa na wateja all over the country,,ingetakiwa wizara na tcra wakae chini waone ni jinsi gani ya kusolve hili tatizo bila kuleta athari nyingi..Azam wameinvest vile,leo hata habari naskia hawaonyeshi..WTFHivi niulize
Zile investments walizofanya watu kwenye media wanazipeleka wapi maana sa hivi hawaoneshi chochote
Vipi kuhusu walioajiriwa sekta hiyo kwenye hizo kampun binafsi za media mkate wao wataupatia wapi kwa mabadiliko hayo ya ghafla maana sidhan media ka itakubal kuwalipa ilhal hawaingizi chochote
Jaman hebu tulichambua hili jambo kwa uyakinifu
Naomba msaada kwa yeyote anaye elewa juu ya king'amuzi cha AZAM TV wamefikia wapi juu ya kurejesha local channels za ITV,Star tv,Clouds tv,Wasafi tv ! Nawasilisha kwa mwenye incredible information yoyote ile atujuze pleaseYasemekana ni sababu ya kutokukubaliana kwenye mazungumzo ya kimkataba licha ya wizara husika kuingilia kati,,
the saga continue,,
pamoja na yote haya waziri mawasiliano na uchukuzi bado yuko madarakani,,