Fabian the Jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 756
- 751
Itakuwa poa saaana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Dar huduma hiyo inaweza patikana?..karbu znz...
Tufungue macho tupo wengi mkuuhadi wew unalipia elfu 10 per month kuangalia epl? akati zipo channels free to air zinaonyesha buure mechi zote dah! so sad
mkuu ungewasaidia hao wanaosubiri startimes warushe epl, silipi 10000 kwa ajili ya epl, nalipa ili nione chanel tofauti zilizopo kweny king'amuzi, epl sio chochote kwang kwa sasa
kubali kataa wewe ni shabiki wakutupwa wa chama letu asernal ndo mana huoni umuhimu wa epl kwa sasamkuu ungewasaidia hao wanaosubiri startimes warushe epl, silipi 10000 kwa ajili ya epl, nalipa ili nione chanel tofauti zilizopo kweny king'amuzi, epl sio chochote kwang kwa sasa
Dah nataman kupata maelekezo vzr.. Najhc nmekua slow learner ktk hili.. Ila unafaidiMimi nilishaamua kutumia stream tu kutazama najichagulia mwenyewe, Kwanza kwa mwezi nalipa bundle ya halotel elfu 35 napata GB 15 na nimelipia EPL HD kwa $ 19.99 kwa mwaka napata channel zangu kwa raha, naunga laptop yangu kwenye cable ya HD mpaka kwenye TV kwa raha yangu nakula vitu
Inafanyikaje mkuu, unaweza kunielekeza mkuu.
Dah nataman kupata maelekezo vzr.. Najhc nmekua slow learner ktk hili.. Ila unafaidi
asernal ni kinyaa cjwahi kuishabikia hata cku moja kwa faida tu mi ni shabiki wa uitedkubali kataa wewe ni shabiki wakutupwa wa chama letu asernal ndo mana huoni umuhimu wa epl kwa sasa
Hebu Mtusaidie Na Sisi Ambao Tumekuwa Watumwa Wa Vibandaumiza!! Hivyo Ving'amuzi Vyote Mnavyosema Vinapatikanaje!!?hadi wew unalipia elfu 10 per month kuangalia epl? akati zipo channels free to air zinaonyesha buure mechi zote dah! so sad
Hebu Mtusaidie Na Sisi Ambao Tumekuwa Watumwa Wa Vibandaumiza!! Hivyo Ving'amuzi Vyote Mnavyosema Vinapatikanaje!!?
EPL sio wote wanaojua ni kitu gani.Tafadhali tufafanulie tujue EPL ni mnyama gani.
King'amuzi km kipi?