Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Eti ehhh....Hii ndiyo shida ya watu wengi wasioielewa biblia.
Tunapoambiwa kuhubiri,ni kumwambia mtu kosa lake kinagaubaga na kumuonyesha mungu anavyota aishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Faiza acha kukalili!Yakobo 1
13 Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu
Mere superstition!!Ash Wednesday=" its The seventh Wednesday before Easter and the first day of Lent, on which many Christians receive a mark of ashes on the forehead as a token of penitence and mortality".
Faiza acha kukalili!
Hili ndilo tatizo la kuokoteza vifungu vya Biblia Takatifu ili upotoshe maana.
Tatizo la Kiswahili ni kuwa kina msamiati finyu. Ipo tofauti kati ya 'trials' na 'temptations' lkn upande wa Kiswahili lipo neno mmoja 'majaribu'. The trials will test our faith. Lakini yule aliyekuta mke wa mtoto wake wa kulea yuko nusu uchi akamtamani sasa hiyo siyo trial ni temptation.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora umwambieSema wakristo wakatoliki. Sio wakristo wote maana kuna wasabato nadhani haya mambo wala hawayajui, kuna walokole, kuna mashahidi wa yehova, mormons nk. Usipende kauli jumlishi, ni dalili za ujinga.
Sasa mbona kwa agano la kale mnachomoa chomoa machache mnayoyapenda peke yake?? Kwanini msibebe yote...maana ni NENO LA MUNGUHa ha ha Biblia yote ni Neno la Mungu Mkuu;TOBA ina namna nyingi za kufanya, ni bora kufanya kuliko kutofanya kabisa
Kitu gani kilichochomolewa, halafu unahitaji hekima coz ukifuata kila kitu kwenye bible vingine hatuna uwezo navyo mfano hatuwezi kuoa wanawake 700 kama mfalme sulemanSasa mbona kwa agano la kale mnachomoa chomoa machache mnayoyapenda peke yake?? Kwanini msibebe yote...maana ni NENO LA MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanashindwa kutofautisha kati ya kanisa moja katoliki la mitume na kaisa la roman katoliki. Katoliki maana yake ni 'lililoenea duniani pote'Utaongea utatoka mishipa yote kanisa Ni moja Takatifu katoliki la mitume likisema Leo Ni Kwaresma, au pasaka wote itakuea hivyo. Na ndivyo ilivyo. Hakuna calendar tofauti wamejaribu hao kina sabbato wameshindwa wamebakia wenyewe the whole world wapo na kanisa moja ambalo Ni Takatifu katoliki la Mitume
Ndio maana mmeshindwa kujizuia kutoshonga MASANAMU na ya Kuyabusu???[emoji23][emoji23][emoji23]Kitu gani kilichochomolewa, halafu unahitaji hekima coz ukifuata kila kitu kwenye bible vingine hatuna uwezo navyo mfano hatuwezi kuoa wanawake 700 kama mfalme suleman
Pumbavu shetani wee!!Hii taarifa kawaambie mataahira wenzako mliokua mnachezewa makalio na mapadri.
Sasa ndugu yangu wewe unabisha nini na unatetea nini?! Baada ya Ibilis kumpeleka Yesu juu ya mnara, akamwambia "jitupe chini kwa maana imeandikwa atakuagizia Malaika wake ambao watakuweka mikononi mwao ili usvinjuke" na hapo ndipo Yesu akwambia shetani "..imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako!" Yesu anapomwambia shetani kwamba "imeandikwa usimjaribu Mungu wako" maana yake ni kwamba Mungu hajaribiwi, na ndicho alichosema FaizaFox!!Tatizo la kudandia vitu usivyoelewa! Shetani aliposhindwa kumshawishi Yesu, aliambiwa na Yesu kuwa asimjaribu Bwana Mungu wake. Kwani aliyekuwa akijaribiwa kule nyikani alikuwa nani?
Wasabato sio wakristu ni wafarisayoSema wakristo wakatoliki. Sio wakristo wote maana kuna wasabato nadhani haya mambo wala hawayajui, kuna walokole, kuna mashahidi wa yehova, mormons nk. Usipende kauli jumlishi, ni dalili za ujinga.
Ha ha ha mkuu kwani sanamu nini nini?Ndio maana mmeshindwa kujizuia kutoshonga MASANAMU na ya Kuyabusu???[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh pole sana, ubarikiwe ndugu yanguSijakuelewa...!! Hebu fafanua..
Halafu nikuambie kitu kimoja....
Biblia hii unayoiona iwe ya 66 books, 83 books(orthodox) au ya 72 books(catholics) ni Mali ya Kanisa Katoliki..
Kanisa Katoliki ndio iliyotupa/ipa dunia Biblia....Biblia ni Mali ya Kanisa Katoliki
Full Stop and Long Break
Sasa hapo Katoliki limeingiaje? Aisee Muombe sana Roho Mtakatifu akusaidie jamani!Hahahahaha.....Mungu ni Wa Wote....Ila Kanisa ni la Kristo....Kanisa Katoliki ni la Yesu Kristo peke yake....
Wangine wote ni matokeo ya baadhi kujitenga na Kanisa Katoliki....
Mathayo 16:18
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Jinsi unavyojibu bado unamkosea Mungu, mjibu mwenzako kwa ustaarabu, hata anapokujibu kwa hasira hutakiwi kulipiza. Roho wa Mungu akupe wepesi wa kuwa mpoleHuko kwenye bold
Tatizo unaandika huku una hasira na chuki...Huwezi lichukia Kanisa la Kristo kamwe..utakufa mapemaaa.....
Utaanzaje kulichukia....hujui Kanisa Katoliki ni Kama Oxygen ..
Ukitumia Biblia ujue umetumia Kitabu chao
Ukija Mahospitali..utakuta unawahitaji wao kuliko wao wanavyokuhitaji wewe..
Kwenye shule na vyuo sitaki kuongelea sana maana unaelewa mziki wake....Kwasasa Elimu bora ya Duniani Kote Inapatika Catholic Church na shule zake..
Si umeona matusi waliofanya St. Francis Mbeya.....
Kati ya Shule 100 bora...Kanisa Katoliki limetoa Shule 95...
Duh !Wakatoliki hawana tofauti na wafuasi wa Mo wote wamelishwa dini!
Huyu mmoja anakwambia Mungu ni Muislam
Huyu Mwingine anakwambia Yesu ndo kaanzisha kanisa katoliki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu wanasema wanaogopa kulishwa matango pori[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wakati wamelishwa MADODOKI kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejibu vizuri kabisa.....Nimejibu kadiri yake yeyeJinsi unavyojibu bado unamkosea Mungu, mjibu mwenzako kwa ustaarabu, hata anapokujibu kwa hasira hutakiwi kulipiza. Roho wa Mungu akupe wepesi wa kuwa mpole
Sent using Jamii Forums mobile app