Pirato ndio kitu ganiWarumi wana nguvu kubwa duniani...hawa hawa ndiyo walimtesa Yesu zamani za pontio pirato na hawa hawa ndiyo wanarudi kutupangia ratiba. Mkumbuke wakati ule wa pontio pirato warumi ndiyo walikuwa watawala.
Utakapopata jibu kwa swali nililokuuliza unistue.....
Sina hamu na hii Chanel.@ Star times, nauliza mbona king'amuzi changu kimekata Chanel kabla ya muda kufika yan kifurushi kilitakiwa kuisha tarehe 24 mwez huu,, sasa mmekata leo? Kwa non yan
Afu namba ya huduma kwa wateja napiga inafail daahSina hamu na hii Chanel.
Ubora wa picha na sauti ukoje broo?Nowdays clouds TV haipatikani.vp, mmeitoa kwenye kisimbusi Chenu au.
...Nowdays clouds TV haipatikani.vp, mmeitoa kwenye kisimbusi Chenu au.
Na three side of ana toka sijazaa mpk sasa mtoto ana miaka 2 na miez 3 bado inarudiwa upuuzi mtupuAisee yani kama double kara tangu mwaka juz kama cjasahau tafuten tamthilia mpya kama hamuwez muwe mnaweka movie za kibongo tu
Hata sielewi mkuu
...Naitaji kingamuzi chenu TAFADHALI NAOMBA NO YA WAKALA au DUKA LENU LOLOTE LILIOKO MBEZI YA KWA MSUGURI
Dstv nakosa vitu vingi mkuu....
hongera kwa kuamua kuingia chaka la startimes ...
...