[emoji28][emoji28] Azam tv ukaangalie Namungo vs Ihefu??Star times sio king'amuzi sahihi Kwa wapenda michezo. km huwezi DSTV basi nunua AZAM TV.
morogoro almost wiki nne channel hazishiki na remotes hazifanyi kazi mmekua kimya mkiulizwa hamna maibu yanayoeleweka hamjajali kutoa taarifa wala kuomba radhi infact mmefeli sana. now that mmerudisha huduma mna mpango gani na muda wetu na vifurushi vilivopotea bure? na mbona sioni channel mpya ya ROC namba 451 ambayo imeanzishwa hivi karibuni?Habari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
MmmhNawashukuru sana startimes kwa kunirdishia free channels,
M pia walinikatia nkawasiliana nao wakanieleza sababu kuwa nlikuwa sjalipia Kwa mda mrefu so wakawa wameupdate ving'amzi hivo na kuviondolea free channels Hadi ulipie kifurushi chochote kuanzia Cha elf 15 nkafanya hvo,baada ya kuisha kifurushi wakazkata ila baada ya kuwasiliana nao wakzrdisha had Leo zipo huu n mwez sasaMmmh
Wamenikatia wameniachia safari
Mtaonyesha kombe la dunia? au msimu huu ni zero zeroHabari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Chanel gani mkuu? Je wataonesha kombe la dunia?Siyo kwelii Mkuu! Bundersliga game karibia zote jmos zile za saa 10 na nusu Jioni huwa zinaonyeshwa channel tofauti tofauti kuanzia channel 240,Anae bagua ni Azam anachagua mechi moja ya kuonesha Kwa upande wa bundesliga.Azam hawana inshu zaidi ya ligi ya bongo tuu. Hata hiyo Ligi ya Ufaransa haoneshi mechi zote.
Star times wanaonesha La Liga,Ligi ya Scotland,Ligi ya uholanzi,Ligi ya Marekani,Ligi ya Uingereza daraja la kwanza,Uefa nation league,Ligi ya china na Sasa hivi kuna Ligi ya Brazil.
Naona itakuwa hivyo,coz sijalipia miezi minne sasa,M pia walinikatia nkawasiliana nao wakanieleza sababu kuwa nlikuwa sjalipia Kwa mda mrefu so wakawa wameupdate ving'amzi hivo na kuviondolea free channels Hadi ulipie kifurushi chochote kuanzia Cha elf 15 nkafanya hvo,baada ya kuisha kifurushi wakazkata ila baada ya kuwasiliana nao wakzrdisha had Leo zipo huu n mwez sasa
Wataonyesha mkuu ila unatakiwa ulipe kifurushi cha zaidi ya elfu 15Chanel gani mkuu? Je wataonesha kombe la dunia?
Nina kisimbuzi namba 01832652990, kwanini channels za kitanzania zinashida ya kuonekana vizuri, wakati fulani zinakuwa kama nzito kufunguka kwa kuonekana kama inakatika katika, na zingine zinazima kabisa kama "Clouds TV"Habari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Hivi mtaonesha kombe la dunia kweli,, mtuambie maana mmekaa kimya kule dstv wanaitangaza kila sikuHabari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
15000 kwa mwenzi- najibu kwa niaba yao.Kifurushi Cha mambo Ni sh ngapi wadau ?