Wadau wa elimu, serikali kwa mara ya kwanza imechagua walimu kibao kusomea stashahada elimu ya awali, je waliochaguliwa ni div iv? Watasoma miaka mingapi? Wataajiriwa na serikali? Kwani shule za msingi zina madarasa ya awali? Mimi najua pre primary school ni private tu. NAOMBA NIJUZE.