Sio mbweni ya Dar ni mbweni ya ZenjiKumbe campus iko mbweni [emoji102][emoji102]
Sikujua kma kuna campus huko jmn.
Naomba kueleweshwa hpa
Kumbe sikuelewa,mtu ana gpa ya 3.6 sijui atapata yarabi.Sio mbweni ya Dar ni mbweni ya Zenji
Jieleze vzr diploma umesoma kozi ganiKumbe sikuelewa,mtu ana gpa ya 3.6 sijui atapata yarabi.
Natumaini tu chuo ni kizuri maana duh watu wananitisha sana
OkayShida ni mtu ametoka clinical medicine suza tu ndio wanapokea dental surgery.
GPA 3.6 yake ni kwahyo hali ni kama hiyo
Dental sahivi ndio course yenye opportunity kubwa sana kuliko hata MD, hivyo tegemea vyote kupata/kukosa kwani ushindani ni mkubwa sanaKumbe sikuelewa,mtu ana gpa ya 3.6 sijui atapata yarabi.
Natumaini tu chuo ni kizuri maana duh watu wananitisha sana
hivi huko nako kuna vyuo vikuu?Habari wana JF naomba kuuliza kuhusu state of university of Zanzibar sana sana kwenye course kama doctor of medicine na a dental surgery.
Diploma ya clinical medicineJieleze vzr diploma umesoma kozi gani
Hahahaha.Kila mtu anataka heshima MD😅
Aisee.Dental sahivi ndio course yenye opportunity kubwa sana kuliko hata MD, hivyo tegemea vyote kupata/kukosa kwani ushindani ni mkubwa sana
Naomba kujua kama pale mbweni mtu mwenye G.P.A ya 3.0 C.O anaweza pata ?Jieleze vzr diploma umesoma kozi gani
YesAisee.
Hivi hii dental ni miaka mi5 ?
Ndio anaweza kupataNaomba kujua kama pale mbweni mtu mwenye G.P.A ya 3.0 C.O anaweza pata ?
Je mbweni hospitali wanatumia ipi ?
Ninatamani kujua zaidi kuhusu vyuo vya hapo zenji
Ada ya Md ni bei gani pale mbweni ?Ndio anaweza kupata
Hospitali sana wanatumia ya mnazi mmoja jpo pia wengine hupelekwa Pemba field ikiwa mnazi mmoja kumejaa
Umesoma guidebook ya TCU?na unajua clinical officer anarusiwa kusoma course gnHahahaha.
Naskia kuna kozi zina fursa ila watu hawazijui kama vile anasthesia,nursing,radiology na ile mtaalamu wa vifaa tiba sijui anaitwaje ile kozi.
Asantee sana [emoji120]Ndio anaweza kupata
Hospitali sana wanatumia ya mnazi mmoja jpo pia wengine hupelekwa Pemba field ikiwa mnazi mmoja kumejaa
Hapans mkuu sijaisoma.Umesoma guidebook ya TCU?na unajua clinical officer anarusiwa kusoma course gn
Katafuta guidebook ya TCU for equivalent applicantsHapans mkuu sijaisoma.
Unzwezq nisaidia kujua C.O anaruhusiwa kysoma kozi gani mkuu ?
WEwe kama unajua naomba unitajie ila kama hauna muda wa kutosha kutoa faida hiyo haina shida.Katafuta guidebook ya TCU for equivalent applicants
MD na dental ni bei sawa ambayo ni 3M+ 5k kma ivo ila uhakika wa ada kamili sina ila inarange apo apoAda ya Md ni bei gani pale mbweni ?