Azniv Protingas
JF-Expert Member
- Oct 29, 2020
- 335
- 554
Kwa afya anaweza kusoma doctor of medicine, physiotherapy lkn anaweza kusoma microbiology, social work n.kHapans mkuu sijaisoma.
Unzwezq nisaidia kujua C.O anaruhusiwa kysoma kozi gani mkuu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa afya anaweza kusoma doctor of medicine, physiotherapy lkn anaweza kusoma microbiology, social work n.kHapans mkuu sijaisoma.
Unzwezq nisaidia kujua C.O anaruhusiwa kysoma kozi gani mkuu ?
Kwa gpa ya 3.6 anaweza kupata ikiwa hakutakuwa na ushindani ila ni ngumu sana labda Kwa private university ambazo watu huzikimbia kutokana na Ada kubwa.Kumbe sikuelewa,mtu ana gpa ya 3.6 sijui atapata yarabi.
Natumaini tu chuo ni kizuri maana duh watu wananitisha sana
Microbiology inatolewa chuo gani kinachochukua coKwa afya anaweza kusoma doctor of medicine, physiotherapy lkn anaweza kusoma microbiology, social work n.k
Udsm ila uwe na gpa ya 3.5Microbiology inatolewa chuo gani kinachochukua co
Ahsante sana .Udsm ila uwe na gpa ya 3.5
Ahsante sana .
GPA inatosha na 4.8
Sory how about marketability for in servicesUdsm ila uwe na gpa ya 3.5
Yuko kitaaHabar boss , samahan nilikuw nauliza zile qualifications ya gpa 3.6 ulipata chuo gan?