Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information
Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information
Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote
"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".
Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Sheria wanayotumia marekani kuzuia watu wajinga kama makonda unaijua? Inasema wakiwa na credible evidence au information? Je ili uite kitu kuwa ni evidence ni mamlaka ipi inatakiwa kutambua hilo? Acha uzwazwa utaolewa, unafikir kila MTU humu anaakili kama zako na makonda mchinja watu mpaka marekan ikamuona.Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information
Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information
Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote
"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".
Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Ume reason kabla yakuongea?Kwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information
Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information
Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote
"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".
Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Pambana na Corona kwanza hayo ya makonda yanamhusu yeye na familia yake,kwanza Makonda si mwenzako,pmbana na hali yako na ya CoronaKwenye Sheria kuna vitu viwili kuna credible evidence na credible information
Marekanii walichonacho sio credible evidence wana credible information
Statement yao kifupi eneo lenye utata hii hapa, na I quote
"Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam".
Kwa kuwa hawana credible evidence wana tu credible information zuio lao ni null and void kisheria na halina uhalali wala nguvu kisheria
Naunga mkonoNasisi tumpige ban Pompeo na Trump kwa sababu hizo hizo wasituchezee hawa sisi ni Taifa huru.
Mpaka wamekubali kurudisha kwa wazungu mashamba waliyoyanyang'anya.Mtasema sana Ila mwisho wa siku mtu mweupe akishasema jambo na kuamua kulifanya analifanya vilivyo,waulizeni wazimbabwe?hadi leo wana taabika kama mbuzi waliokosa mchungaji..