Hiyo kwa printer chache sana muhimu wawe na vitu hivyo kuna watu wanatembea na laptop anakuja stationery unakuta watu wanatumia madeakyop hayana Bluetooth hata flash ya gb2 kwa ajili ya kulipia document inakoseka a kweli? Huu ni uvivuMambo yamebadilika sana siku hizi wengi twahifadhi taarifa kupitia simu, ukifika unawasha Bluetooth/ share point etc unahamisha na kupokea document
Haina rangi manake haina Kiswahili ila usijitoe ufahamu wakati unapo ishi ziko kama 6 kama hujaelewa muulize rafiki yako WA karibu bwaña Mpwayungu Village mwalimu mtorostationery kwa kiswahili ni kitu gani?
Wewe ni mpumbavu tuSs si ungewaambia iyo stationary ya mtaani kwenu kama hawana iyo USB wanunue mpk uje uwaseme humu aisee vijana mmehamishia umbea kwenye jamii forum ss kila kitu unaleta huku
Ila ww ndo una akili kuja kusema stationary flani haina USB au sio bhas sw genious wetuWewe ni mpumbavu tu
admit that you dont know... stop mamaring..Haina rangi manake haina Kiswahili ila usijitoe ufahamu wakati unapo ishi ziko kama 6 kama hujaelewa muulize rafiki yako WA karibu bwaña Mpwayungu Village mwalimu mtoro
Basi kama unajua kwanini unauliza punguza ushambaadmit that you dont know... stop mamaring..