Haha kwakweli ....Mamaeee hapo wanamaanisha vijana jiajirini msisubiri kuajiriwa ππππ
Wanatupiga vita kisaikolojia MwaisaHaha kwakweli ....
Halafu unΓ ulizwa "unaoa lini"
Haha najibu sokaapoo mwaisa [emoji16]
Yah kwakweli...Wanatupiga vita kisaikolojia Mwaisa
jumapili kuna nini ? hahaha daah vijana wataanza kutukaba mtaaniSubirini J2.
πππ Naona Makada wote wanapost tu wakisema J2 mama atawafuta machozi tegeni sikio,sijui hata ana Mpango gani mkuu.ππjumapili kuna nini ? hahaha daah vijana wataanza kutukaba mtaani
haha jamaa mwenyew jina lake "wakupuliza" unategemea nn hapojumapili kuna nini ? hahaha daah vijana wataanza kutukaba mtaani
Siku ukiona umechoka kukaa mtaani ajira hakuna karibu upulizwe.haha jamaa mwenyew jina lake "wakupuliza" unategemea nn hapo
Hii ni kuwapa pole vijana wote mlioko kitaa msoto utaendelea mpaka pale tutakapoamua kugawana matairi ya vieite na watawalatuendelee kunywa mchuzi ....huenda nyama zipo bado chini.
View attachment 1968620
View attachment 1968622
Uwe na staha maneno yako ndugu.Siku ukiona umechoka kukaa mtaani ajira hakuna karibu upulizwe.
Kazi za mwenyekiti wa kijiji hujaziona???tuendelee kunywa mchuzi ....huenda nyama zipo bado chini.
View attachment 1968620
View attachment 1968622