Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Mpaka side mirrorsHii ni kuwapa pole vijana wote mlioko kitaa msoto utaendelea mpaka pale tutakapoamua kugawana matairi ya vieite na watawala
Mama atatangaza ajira za watendaji vijijiSubirini J2.
Ila watatuzi wa hio shida wao wameegamia kwenye tozo tu πHii ndio shida kwenye hili taifa.
Hii nchi soon ita collapse.
connection tatizo mkuu πKazi za mwenyekiti wa kijiji hujaziona???
πππ Sitashangaa kabisa mkuu.Mama atatangaza ajira za watendaji vijiji
Yaani Hawa jobless waende wakaombe tenda mbalimbali sio mkuu?Msikae utumishi tu, huku TaNeps zipo zimejaa telee
Maelezo kidogo kwa mtoa hudumaβοΈMsikae utumishi tu, huku TaNeps zipo zimejaa telee
Tulitaka zijapange Kama mapumbuh yaani ziwe mapacha Kama ovary au mshazali ingawa ikiwa imekaa Kama mlalo inakua iko kitaalam na mapulizo ya kudisco nalipua.Lakini kila mwezi watu wanapangiwa vituo vya kazi maeneo mbalimbali na hao portal
Unataka kila siku numbers zisome Kuna ajira 1,2,3 na kuendelea?
wafanye namna mkuu mapanya road wamekuwa weng wawape michongo tupumue daaahπππ Naona Makada wote wanapost tu wakisema J2 mama atawafuta machozi tegeni sikio,sijui hata ana Mpango gani mkuu.ππ
hahaha ila tanzania daaaahhaha jamaa mwenyew jina lake "wakupuliza" unategemea nn hapo
Hahaha..vijana wamebaki na option moja tu ya kubet..nchi ngumu sana hii.Ila betting kila siku odds zipo za kufa mtu, unahitaji tu mtaji wa shilingi 10,000...njooni huku tujiajiri