Nenda ofsini kwa Wakili akupe ushauri/ ufafanuzi. Hii ni noble profession. Hivyo ushauri/ ufafanuzi wa mwanasheria au Wakili lazima uulipie. NO FREE LUNCH.Nimesoma kuwa mtu mmoja kafungua kesi huko SA akitaka ndege ya ATCL ikamatwe kwa sababu anaidait Tanzania mali zake zilizotaifishwa na Nyerere mwaka 1967. Je Statute of Limitations hafanya kazi kwenye mazingira haya. Ataletaje kesi ya miaka 52 leo- hata miaka 10 tu, kwani hata ushahidi hauwezi kuwa verified tena?
Haya wanasheria , toeni ufafanuzi, hii imekaaje?
Nenda ofsini kwa Wakili akupe ushauri/ ufafanuzi. Hii ni noble profession. Hivyo ushauri/ ufafanuzi wa mwanasheria au Wakili lazima uulipie. NO FREE LUNCH.
Haya madeni yamefufuliwa na watanzania wenyewe ambao ama wamekoseshwa business as usual iliyokuwa inawaingizia utajiri mkubwa sana au wanaotaka serikali ya sasa ishindwe kazi kusudi wapate uraisi mwaka kesho. Kwa mfano serikali ya sasa ingekuwa business as usual usingesikia kesi hii; ni ya zamani sana mpaka imeshapitwa na muda kisheria. Iwapo serikali itakuwa na jopo zuri la wanasheria kuhusu kesi hiyo ya Afrika ya kusini, huyo mkulima atalimwa sana. Kuna mapungufu makubwa katika kesi yake hiyo baada ya makubaliano yale aliyoingia mwaka 1991 hata kama hakulipwa. Kuna taratibu hakuzifuata katika kuomba ndege hiyo ikamatwe, ndiyo maana kwenye list ya washitakiwa wake ameunganisha makampuni kadhaa ya Afrika ya Kusuini ambayo hayahusiki kabisa na mgogor baina yake na serikali ya Tanzania.