Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Nimesoma kuwa mtu mmoja kafungua kesi huko SA akitaka ndege ya ATCL ikamatwe kwa sababu anaidait Tanzania mali zake zilizotaifishwa na Nyerere mwaka 1967. Je Statute of Limitations haifanyi kazi kwenye mazingira haya. Ataletaje kesi ya miaka 52 leo- hata miaka 10 tu, kwani hata ushahidi hauwezi kuwa verified tena?
Haya wanasheria , toeni ufafanuzi, hii imekaaje?
UPDATES: Ni mali zilizotaifishwasmwaka 1982, siyo 1967.
Haya wanasheria , toeni ufafanuzi, hii imekaaje?
UPDATES: Ni mali zilizotaifishwasmwaka 1982, siyo 1967.