Stay Strong Zero Brainer

Yeahh sure
 
Ila Tanzania nani katuloga uwiiiiiiiiiiiii
Jana mtu anapanda kuchekesha ni mama mama mama mama mama mama
Ni binti mmoja wa kikurya yule Neila Manga ndo aliendelea na ishu zake..
Nilicheka Dora na Hamis walivyong'ang'ania kupiga picha na Rais halafu wakakataliwa😂

Kila mtu anataka picha na rais hadi kero.
 
Tanzania yangu bhana 😃 Mara mwingine eti apige picha na Samia ili X wake aone wivu 😔 stupid mindset kabsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…