Stay Strong Zero Brainer

Stay Strong Zero Brainer

Kama anapiga pesa kimya kimya ni jambo zuri sana. Watanzania wanga sana walimfanyia uchawi Mbwana Samatta pale Aston Villa kutwa kwenye DM za wachezaji wenzake wanawatukana hawampi pasi Samatta hadi akaachwa msimu mmoja tu.

Ukiona unapiga pesa na Watanzania hawana muda na wewe ni jambo la kushukuru sio kusikitika.
Yeahh sure
 
Ila Tanzania nani katuloga uwiiiiiiiiiiiii
Jana mtu anapanda kuchekesha ni mama mama mama mama mama mama
Ni binti mmoja wa kikurya yule Neila Manga ndo aliendelea na ishu zake..
Nilicheka Dora na Hamis walivyong'ang'ania kupiga picha na Rais halafu wakakataliwa😂

Kila mtu anataka picha na rais hadi kero.
 
Back
Top Bottom