Std 7 wenye umri kuanzia miaka 25, na walioko makazini. Kuna nafac tcu ilitoa kwa ajili ya hao watu wanapga pepa wakifaulu wanaendelea na bachela ila inabidi wawe wanajua kiingereza hlo ndo sharti kubwa. Afu inabidi wakasome kitu ambacho kimo ndani ya field wanazofanyia kazi.kuna baadh wamepata hio chance ndo wale wa RPL