Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Februari 9, 2023 kwenye Mkutano wa 10, Kikao cha 8
Mbunge wa Nyasa, Mhandisi, Stellah Manyanya amebainisha kuwa Hospitali ya Kanda ya Kusini iliyopo Mkoani Mtwara, haina huduma muhimu hivyo Wananchi kulazimika kutembea umbali wa hadi KiloMita 1,200, Miaka 2 baada ya kuzinduliwa
Miongoni mwa huduma hizo ni gari la Wagonjwa, Chumba cha Kuhifadhia Maiti, Gari ya Daktari Mkuu na Wafanyakazi wa Kutosha
Mbunge wa Nyasa, Mhandisi, Stellah Manyanya amebainisha kuwa Hospitali ya Kanda ya Kusini iliyopo Mkoani Mtwara, haina huduma muhimu hivyo Wananchi kulazimika kutembea umbali wa hadi KiloMita 1,200, Miaka 2 baada ya kuzinduliwa
Miongoni mwa huduma hizo ni gari la Wagonjwa, Chumba cha Kuhifadhia Maiti, Gari ya Daktari Mkuu na Wafanyakazi wa Kutosha