Stellah Manyanya: Hospitali ya Kanda ya Kusini haina huduma Muhimu

Stellah Manyanya: Hospitali ya Kanda ya Kusini haina huduma Muhimu

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Februari 9, 2023 kwenye Mkutano wa 10, Kikao cha 8

Mbunge wa Nyasa, Mhandisi, Stellah Manyanya amebainisha kuwa Hospitali ya Kanda ya Kusini iliyopo Mkoani Mtwara, haina huduma muhimu hivyo Wananchi kulazimika kutembea umbali wa hadi KiloMita 1,200, Miaka 2 baada ya kuzinduliwa

Miongoni mwa huduma hizo ni gari la Wagonjwa, Chumba cha Kuhifadhia Maiti, Gari ya Daktari Mkuu na Wafanyakazi wa Kutosha

 
Back
Top Bottom