Stendi Iliojengwa Kwa Fedha za Umma unapobadilishwa Matumizi na Kuwa Mnada wa Kuchoma Mbuzi.

Stendi Iliojengwa Kwa Fedha za Umma unapobadilishwa Matumizi na Kuwa Mnada wa Kuchoma Mbuzi.

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu habari ya Jioni.
.
Kuna pahala nimesoma na kuona picha mbalimbali kwamba Stendi ya dala² Mafiga Morogoro Imebadilishwa Matumizi na Kuwa Mnada utakaokuwa unachomwa mbuzi na Watu Kupata Kinywaji.
.
Nimesoma na Kuona Dc Msando akiwakaribisha Kesho wananchi wa Moro kufika Kwa Ajili ya ufunguzi.
.
Sijaelewa imekuaje Stendi Imebadilishwa Kutoka Kuwa Stendi mpaka Kuwa Mnada wa kuchinja+Kuuza Mbuzi.
.
Kuna picha zipo vibanda Vya wauza bia wamejenga mpaka Zile Sehemu za Kupumzikia Abiria.
.
Ni kwamba imeonekana Stendi Hailipi wakaamua Kubadili Matumizi?

Screenshot_20220415-182024.jpg


Screenshot_20220415-181905.jpg


Screenshot_20220415-181727.jpg


Screenshot_20220415-181227.jpg


Screenshot_20220415-181132.jpg


Screenshot_20220415-183437.jpg
 
Stendi na Masoko mengi yalijengwa makubwa kuliko uhalisia wa sasa na miaka 50 ijayo
 
Back
Top Bottom