A
Anonymous
Guest
Stendi Kuu ya Mabasi Dodoma mazingira yake ni machafu na yanatoa hasira kwa sisi tunaotumia eneo hilo kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kila siku.
Licha ya kuwa wanakusanya fedha zetu kwa maana ya ushuru kila siku lakini majani yamezidi, hata kuyafyekwa imeshindikana.
Hii ni aibu, Uongozi wa Stendi uko wapi? Uongozi wa Wilaya uko wapi? Uongozi wa Mkoa nao uko wapi?
Licha ya kuwa wanakusanya fedha zetu kwa maana ya ushuru kila siku lakini majani yamezidi, hata kuyafyekwa imeshindikana.
Hii ni aibu, Uongozi wa Stendi uko wapi? Uongozi wa Wilaya uko wapi? Uongozi wa Mkoa nao uko wapi?
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.