Stendi ya Arusha haifanani na hadhi jiji la Kitalii

Stendi ya Arusha haifanani na hadhi jiji la Kitalii

Suip

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,353
Reaction score
815
Mmiliki wa stendi ya jiji la Arusha hana bajeti ya kukarabati na kufanyia usafi jengo la abiria? Jengo nichafu mabati yana vuja mpaka wanaweka maturubali juu yake.

Kama mnajenga stendi mpya tangu enzi Rais Magufuli mpaka leo haikamiliki na pia hii ya zamani nadhani itaendelea kutumika na inatakiwa ipendeze. Mkuu wa Mkoa pamoja festival za kuvutia watalii angalia na hili.


IMG_20241029_093545_193.jpg
 
Mmiliki wa stendi ya jiji la Arusha hana bajeti ya kukarabati na kufanyia usafi jengo la abiria? Jengo nichafu mabati yana vuja mpaka wanaweka maturubali juu yake.

Kama mnajenga stendi mpya tangu enzi Rais Magufuli mpaka leo haikamiliki na pia hii ya zamani nadhani itaendelea kutumika na inatakiwa ipendeze. Mkuu wa Mkoa pamoja festival za kuvutia watalii angalia na hili.


Tuliambiwa ccm ikishika jiji la arusha kutakua na mabadiliko ila wananchi wanachoona ni michoro tu
 
Tuliambiwa ccm ikishika jiji la arusha kutakua na mabadiliko ila wananchi wanachoona ni michoro tu
Hata kabla ya CCM inaonekana sio kipaumbele cha viongozi wa jiji kwani hilo jengo ni la zamani sana tangia miaka ya 1980 halijawahi kufanyiwa matengenezo yoyote.
 
Kanda ya kaskazini ni washamba saba,mambo ya kipumbavu kwao ndiyo wanaona ya maana.

RC Makonda atawasaidia maana jiji la Mwanza Lina stendi kali mbili
 
Mmiliki wa stendi ya jiji la Arusha hana bajeti ya kukarabati na kufanyia usafi jengo la abiria? Jengo nichafu mabati yana vuja mpaka wanaweka maturubali juu yake.

Kama mnajenga stendi mpya tangu enzi Rais Magufuli mpaka leo haikamiliki na pia hii ya zamani nadhani itaendelea kutumika na inatakiwa ipendeze. Mkuu wa Mkoa pamoja festival za kuvutia watalii angalia na hili.


Sijaelewa, ndani ya hilo jengo la mabati ndio kuna stand?
 
Hakuna stendi pale ni takataka yaani ukiangalia mapato yanayopatikana kwenye hilo jijina na stendi walionyo havifananii
 
Back
Top Bottom