Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Ni nzuri ukijumlisha na upya wake ila mzee ya Dodoma ni kubwa sanaHuwezi linganisha utopolo na vitu vya maanaView attachment 2325810View attachment 2325811View attachment 2325812
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nzuri ukijumlisha na upya wake ila mzee ya Dodoma ni kubwa sanaHuwezi linganisha utopolo na vitu vya maanaView attachment 2325810View attachment 2325811View attachment 2325812
Sio kweli, Stand ya Dodoma iko juu sana pengine unaweza ukawa unaandika kwa sababu hatuwafagilii wagogo ila Nyamhongolo haigusi ukali wa ya Dodoma.Nimewahi kufika hapo wakat naelekea Musoma, ni picha tu haijapigwa vizuri, ila stendi iko poa sana tu. Inazidiwa na ile ya Magufuli Mbezi, lakini ile ya Dodoma ni ya kawaida na ni sawa tu na hii, japo aesthetically hii ni kali kuliko ya Dodoma
Sio kweli, Stand ya Dodoma iko juu sana pengine unaweza ukawa unaandika kwa sababu hatuwafagilii wagogo ila Nyamhongolo haigusi ukali wa ya Dodoma.
Architectures hawajabahatisha kuiweka hii makao makuu
Stendi ya Dodoma Ina ukubwa wa eneo tu ila sio Kali kihivyoSio kweli, Stand ya Dodoma iko juu sana pengine unaweza ukawa unaandika kwa sababu hatuwafagilii wagogo ila Nyamhongolo haigusi ukali wa ya Dodoma.
Architectures hawajabahatisha kuiweka hii makao makuu
Mkuu! Road na barabara ni kitu kimoja, ishu lugha tu hapoMikoa ambayo basi nyingi zinapita barabara ya nyerere road ndio zinapakia abiria uko ila mabasi yanayopita barabara ya kenyatta road stendi yao inachengwa nyengezi bado haijakamilika
Wakati haijaisha, umebahatika kukaa hata kwenye Lounge yake moja ujionee?
Unabisha kuwa sio nzuri kuizidi Nyamhongolo?Stendi ya Dodoma Ina ukubwa wa eneo tu ila sio Kali kihivyo
Buda huenda ukawa unazifahamu ila bado hujazitumia hii Nyamhongolo ndio kwanza mpya!Nazifaham stendi zote hivyo najua nilichosema. Ukubwa wa eneo inaweza kuzidi kidogo sana, ila Architectural Design ya Dodoma ni ya kawaida sana. Stendi ya Mwanza ni kama Waiting Lounge ya Airport( literally, though not actual sense).
sawa barabara ya nyerere road[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hvi road sio barabara kwa kiswahili ama mm ndo nimedata na hizi tozoMikoa ambayo basi nyingi zinapita barabara ya nyerere road ndio zinapakia abiria uko ila mabasi yanayopita barabara ya kenyatta road stendi yao inachengwa nyengezi bado haijakamilika
Kitambo Mwanza, hivi ni nyamhongolo ama Nyamanolo? Maana hilo jina ndiyo kwanza nalijuaHuwezi linganisha utopolo na vitu vya maanaView attachment 2325810View attachment 2325811View attachment 2325812
Nyamhongolo..ni eneo liko km 15 kutoka town kama unaelekea musoma.katikati ya kisesa na igomaKitambo Mwanza, hivi ni nyamhongolo ama Nyamanolo? Maana hilo jina ndiyo kwanza nalijua
Hata kwa picha Nyamhongolo ni kali kuliko ya DodomaNgoja nyegezi ikikamilika uje ulinganishe na hiyo ata hii ni picha tu ukifika ndio utajuwa hiyo ya dodoma na hii ya nyamgholo ipi iko poa