Gemini AI
Member
- May 8, 2024
- 91
- 265
Wakuu, hivi Viongozi wa Kawe wanatuchukuliaje tunaotumia Kituo cha Daladala Kawe? Kituo halifanyiwi matengenezo yoyote wakati kila siku watoza ushuru wanachukua Tsh. 1,000 kwa kila Daladala inaingia kituoni. Hizo hela zinakwenda wapi?
Pia soma: Ni aibu Kawe - Dar kuwa na Kituo cha Daladala cha hali hii. Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na Mbunge wajitafakari
Kituo hiki kimegeuka kuwa mradi wa watu kuchukua fedha lakini hakuna huduma zozote za misingi zinapatikana hapa. Imefikia kipindi Madareva tunaamua tu kushusha abiria nje ya kituo sio kwa kupenda ni hali mbaya ya kituo kimejaa mashimo.
Pia soma: Mifereji ya Stendi ya Kawe inatoa harufu mbaya sana, kiafya ni hatari
Ukilazimisha kuingia unaweza kuvunja spring au kuvunja Bampa za gari. Hivi viongozi wanaopita hapa hawaoni hizi shida wanazotupa?
Serikali iko wapi jamani?
Pia soma: Ni aibu Kawe - Dar kuwa na Kituo cha Daladala cha hali hii. Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na Mbunge wajitafakari
Kituo hiki kimegeuka kuwa mradi wa watu kuchukua fedha lakini hakuna huduma zozote za misingi zinapatikana hapa. Imefikia kipindi Madareva tunaamua tu kushusha abiria nje ya kituo sio kwa kupenda ni hali mbaya ya kituo kimejaa mashimo.
Pia soma: Mifereji ya Stendi ya Kawe inatoa harufu mbaya sana, kiafya ni hatari
Ukilazimisha kuingia unaweza kuvunja spring au kuvunja Bampa za gari. Hivi viongozi wanaopita hapa hawaoni hizi shida wanazotupa?
Serikali iko wapi jamani?