Stendi ya Mabasi Nyegezi na Nyamuhongolo (Mwanza) Vyumba vingi vya Biashara vipo tupu kutokana na uendeshaji mbovu

Stendi ya Mabasi Nyegezi na Nyamuhongolo (Mwanza) Vyumba vingi vya Biashara vipo tupu kutokana na uendeshaji mbovu

try me

Member
Joined
Nov 8, 2024
Posts
16
Reaction score
11
Stendi ya Nyegezi ni ya pili kwa ukubwa hapa Mwanza baada ya ile ya Nyamohongolo, wakati wa ujenzi wake ilielezwa kuwa zaidi ya Sh. Bilioni 15 zilitumika kwa mradi huo ikiwemo maegesho ya mabasi, magari madogo, vyumba maalumu za abiria na chumba cha Wanawake wanaohitaji kunyonyesha watoto.

Upande wa Stendi ya Nyamuhongolo imeelezwa imegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 26. 6 ambapo pia kuna eneo la kuegesha malori, stendi ya mabasi yenye uwezo wa kuingiza mabasi 120, jengo la hoteli, eneo la gereji, eneo la ghala pamoja na maduka.

Pamoja na mambo mazuri yote hayo lakini bado kuna changamoto ya uendeshaji na kusababisha vyumba vingi kukosa wateja katika stendi hizo;
Nyamuhongolo  (1).jpg

Nyamuhongolo  (2).jpg

Nyamuhongolo  (4).jpg

Nyamuhongolo  (5).jpg

Nyamuhongolo  (9).jpg

Nyamuhongolo 1.jpg

Stendi ya Nyamuhongolo
Vyumba kutumika kwa matumizi binafsi
Baadhi ya Wafanyabiashara wanadai kuna vyumba vinatumika kama vyumba vya watu binafsi kutokana na uwepo wa magodoro lakini vingine vimekuwa stoo za kuhifadhia vitu mbalimbali.

Baadhi ya Wafanyabiashara wa Stendi ya Nyamuhongolo wamelazimika kujenga kibanda nje ya Stendi, wengi wao wamefanya hivyo kutokana na gharama ya upangaji kuwa juu na sio rafiki kabisa kwao, inaelezwa bei ni kuanzia Sh Laki 6 hadi Milioni.

Kuna baadhi ya Mawakala ofisi zao zipo jirani na maeneo ya Nyegezi ambapo wamepanga katika nyumba binafsi ili kupunguza gharama

Biashara ni ngumu pia
Licha ya mzunguko wa fedha lakini biashara zimekuwa ngumu kwa kuwa abiria wengi wanakwepa kununua vitu ndani ya stendi hizo kutokana na gharama kuwa juu, Wafanyabiashara wanapandisha bei ili angalau wakidhi mahitaji ya fedha walizotumia kuwekeza kwenye vituo hivyo.

Halmashauri zinatakiwa kuwapa watu au kampuni maalum kuendesha vituo hivyo kwa kuweka mikakati sahihi.

Serikali inatakiwa kuingilia kati kwa kuwa kuna uwepo wa kutupiana mpira katika upangishaji wa vyumba kiasi ya kwamba inaonekana si jambo la kawaida kama mradi wa watu wachache tu walioamua kukinufaisha wenyewe.

Chumba cha kunyonyeshea wengi hawakijui
Kuna huduma maalumu za abiria zinatolewa mfano katika Stendi ya Nyegezi kuna chumba cha Wanawake Wanaohitaji kunyonyesha watoto wao, swali ni kwamba abiria mmewafikiaje wafahamu kuna huduma hizo na wawe tayari kuzitumia?

Ni vyema ukubwa wa Stendi hizo uendane na hadhi ya Wafanyabishara waliopo ili Halmashauri na Mkoani wa Mwanza kupata mapato ya ndani.
WhatsApp Image 2024-12-30 at 10.56.24_7bd59bbd.jpg

WhatsApp Image 2024-12-30 at 10.56.26_57240736.jpg

WhatsApp Image 2024-12-30 at 10.56.30_c016687d.jpg

WhatsApp Image 2024-12-30 at 10.56.27_9d151730.jpg
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-12-30 at 10.56.30_c016687d.jpg
    WhatsApp Image 2024-12-30 at 10.56.30_c016687d.jpg
    75 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-12-30 at 10.56.27_9d151730.jpg
    WhatsApp Image 2024-12-30 at 10.56.27_9d151730.jpg
    90.8 KB · Views: 3
Stendi ya Nyegezi ni ya pili kwa ukubwa hapa Mwanza baada ya ile ya Nyamohongolo, wakati wa ujenzi wake ilielezwa kuwa zaidi ya Sh. Bilioni 15 zilitumika kwa mradi huo ikiwemo maegesho ya mabasi, magari madogo, vyumba maalumu za abiria na chumba cha Wanawake wanaohitaji kunyonyesha watoto.

Upande wa Stendi ya Nyamuhongolo imeelezwa imegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 26. 6 ambapo pia kuna eneo la kuegesha malori, stendi ya mabasi yenye uwezo wa kuingiza mabasi 120, jengo la hoteli, eneo la gereji, eneo la ghala pamoja na maduka.

Pamoja na mambo mazuri yote hayo lakini bado kuna changamoto ya uendeshaji na kusababisha vyumba vingi kukosa wateja katika stendi hizo;

Vyumba kutumika kwa matumizi binafsi
Baadhi ya Wafanyabiashara wanadai kuna vyumba vinatumika kama vyumba vya watu binafsi kutokana na uwepo wa magodoro lakini vingine vimekuwa stoo za kuhifadhia vitu mbalimbali.

Baadhi ya Wafanyabiashara wa Stendi ya Nyamuhongolo wamelazimika kujenga kibanda nje ya Stendi, wengi wao wamefanya hivyo kutokana na gharama ya upangaji kuwa juu na sio rafiki kabisa kwao, inaelezwa bei ni kuanzia Sh Laki 6 hadi Milioni.

Kuna baadhi ya Mawakala ofisi zao zipo jirani na maeneo ya Nyegezi ambapo wamepanga katika nyumba binafsi ili kupunguza gharama

Biashara ni ngumu pia
Licha ya mzunguko wa fedha lakini biashara zimekuwa ngumu kwa kuwa abiria wengi wanakwepa kununua vitu ndani ya stendi hizo kutokana na gharama kuwa juu, Wafanyabiashara wanapandisha bei ili angalau wakidhi mahitaji ya fedha walizotumia kuwekeza kwenye vituo hivyo.

Halmashauri zinatakiwa kuwapa watu au kampuni maalum kuendesha vituo hivyo kwa kuweka mikakati sahihi.

Serikali inatakiwa kuingilia kati kwa kuwa kuna uwepo wa kutupiana mpira katika upangishaji wa vyumba kiasi ya kwamba inaonekana si jambo la kawaida kama mradi wa watu wachache tu walioamua kukinufaisha wenyewe.

Chumba cha kunyonyeshea wengi hawakijui
Kuna huduma maalumu za abiria zinatolewa mfano katika Stendi ya Nyegezi kuna chumba cha Wanawake Wanaohitaji kunyonyesha watoto wao, swali ni kwamba abiria mmewafikiaje wafahamu kuna huduma hizo na wawe tayari kuzitumia?

Ni vyema ukubwa wa Stendi hizo uendane na hadhi ya Wafanyabishara waliopo ili Halmashauri na Mkoani wa Mwanza kupata mapato ya ndani.
Usisingizie uendeshaji mbovu,mastenso yote Nchi nzima Yako tupu.

Kila siku nawaambia ni upumbavu kutumia mabilioni ya hela kujenga majengo makubwa ya gorofa kwenye stendi wakati Huwa hayatumiki.

Hakuna kitu watu wa Serikali wanaweza fanya kikaleta faida.

Mkitaka majengo wapeni private sector ndio wajenge
 
Stendi ya Nyegezi ni ya pili kwa ukubwa hapa Mwanza baada ya ile ya Nyamohongolo, wakati wa ujenzi wake ilielezwa kuwa zaidi ya Sh. Bilioni 15 zilitumika kwa mradi huo ikiwemo maegesho ya mabasi, magari madogo, vyumba maalumu za abiria na chumba cha Wanawake wanaohitaji kunyonyesha watoto.

Upande wa Stendi ya Nyamuhongolo imeelezwa imegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 26. 6 ambapo pia kuna eneo la kuegesha malori, stendi ya mabasi yenye uwezo wa kuingiza mabasi 120, jengo la hoteli, eneo la gereji, eneo la ghala pamoja na maduka.

Pamoja na mambo mazuri yote hayo lakini bado kuna changamoto ya uendeshaji na kusababisha vyumba vingi kukosa wateja katika stendi hizo;

Vyumba kutumika kwa matumizi binafsi
Baadhi ya Wafanyabiashara wanadai kuna vyumba vinatumika kama vyumba vya watu binafsi kutokana na uwepo wa magodoro lakini vingine vimekuwa stoo za kuhifadhia vitu mbalimbali.

Baadhi ya Wafanyabiashara wa Stendi ya Nyamuhongolo wamelazimika kujenga kibanda nje ya Stendi, wengi wao wamefanya hivyo kutokana na gharama ya upangaji kuwa juu na sio rafiki kabisa kwao, inaelezwa bei ni kuanzia Sh Laki 6 hadi Milioni.

Kuna baadhi ya Mawakala ofisi zao zipo jirani na maeneo ya Nyegezi ambapo wamepanga katika nyumba binafsi ili kupunguza gharama

Biashara ni ngumu pia
Licha ya mzunguko wa fedha lakini biashara zimekuwa ngumu kwa kuwa abiria wengi wanakwepa kununua vitu ndani ya stendi hizo kutokana na gharama kuwa juu, Wafanyabiashara wanapandisha bei ili angalau wakidhi mahitaji ya fedha walizotumia kuwekeza kwenye vituo hivyo.

Halmashauri zinatakiwa kuwapa watu au kampuni maalum kuendesha vituo hivyo kwa kuweka mikakati sahihi.

Serikali inatakiwa kuingilia kati kwa kuwa kuna uwepo wa kutupiana mpira katika upangishaji wa vyumba kiasi ya kwamba inaonekana si jambo la kawaida kama mradi wa watu wachache tu walioamua kukinufaisha wenyewe.

Chumba cha kunyonyeshea wengi hawakijui
Kuna huduma maalumu za abiria zinatolewa mfano katika Stendi ya Nyegezi kuna chumba cha Wanawake Wanaohitaji kunyonyesha watoto wao, swali ni kwamba abiria mmewafikiaje wafahamu kuna huduma hizo na wawe tayari kuzitumia?

Ni vyema ukubwa wa Stendi hizo uendane na hadhi ya Wafanyabishara waliopo ili Halmashauri na Mkoani wa Mwanza kupata mapato ya ndani.
Tatizo kubwa ni kutaka kupata pesa mara mbili mtu anae ingia stendi unataka alipie kiingolio hapo hapo anae uza ndani unataka ilipie kodi kubwa la jengo wakati huo mteja wake kuingia ndani unamtoza pesa, c ni bora ununue kwa maduka olioko nje ya stendi.......hayo maduka hayatafanya kazi kwasbabu kama izo.
 
Usisingizie uendeshaji mbovu,mastenso yote Nchi nzima Yako tupu.

Kila siku nawaambia ni upumbavu kutumia mabilioni ya hela kujenga majengo makubwa ya gorofa kwenye stendi wakati Huwa hayatumiki.

Hakuna kitu watu wa Serikali wanaweza fanya kikaleta faida.

Mkitaka majengo wapeni private sector ndio wajenge
Uliwaambia wale mbumbumbu kuhusu soko la Ndugai Dodoma wakabisha. Sasa wajionee na hili la Mwanza na majengo kibao nchini hata Machinga Complex yenyewe iliyopo jijini katikati bado tia maji.
 
Stendi ya Nyegezi ni ya pili kwa ukubwa hapa Mwanza baada ya ile ya Nyamohongolo, wakati wa ujenzi wake ilielezwa kuwa zaidi ya Sh. Bilioni 15 zilitumika kwa mradi huo ikiwemo maegesho ya mabasi, magari madogo, vyumba maalumu za abiria na chumba cha Wanawake wanaohitaji kunyonyesha watoto.

Upande wa Stendi ya Nyamuhongolo imeelezwa imegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 26. 6 ambapo pia kuna eneo la kuegesha malori, stendi ya mabasi yenye uwezo wa kuingiza mabasi 120, jengo la hoteli, eneo la gereji, eneo la ghala pamoja na maduka.

Pamoja na mambo mazuri yote hayo lakini bado kuna changamoto ya uendeshaji na kusababisha vyumba vingi kukosa wateja katika stendi hizo;
Vyumba kutumika kwa matumizi binafsi
Baadhi ya Wafanyabiashara wanadai kuna vyumba vinatumika kama vyumba vya watu binafsi kutokana na uwepo wa magodoro lakini vingine vimekuwa stoo za kuhifadhia vitu mbalimbali.

Baadhi ya Wafanyabiashara wa Stendi ya Nyamuhongolo wamelazimika kujenga kibanda nje ya Stendi, wengi wao wamefanya hivyo kutokana na gharama ya upangaji kuwa juu na sio rafiki kabisa kwao, inaelezwa bei ni kuanzia Sh Laki 6 hadi Milioni.

Kuna baadhi ya Mawakala ofisi zao zipo jirani na maeneo ya Nyegezi ambapo wamepanga katika nyumba binafsi ili kupunguza gharama

Biashara ni ngumu pia
Licha ya mzunguko wa fedha lakini biashara zimekuwa ngumu kwa kuwa abiria wengi wanakwepa kununua vitu ndani ya stendi hizo kutokana na gharama kuwa juu, Wafanyabiashara wanapandisha bei ili angalau wakidhi mahitaji ya fedha walizotumia kuwekeza kwenye vituo hivyo.

Halmashauri zinatakiwa kuwapa watu au kampuni maalum kuendesha vituo hivyo kwa kuweka mikakati sahihi.

Serikali inatakiwa kuingilia kati kwa kuwa kuna uwepo wa kutupiana mpira katika upangishaji wa vyumba kiasi ya kwamba inaonekana si jambo la kawaida kama mradi wa watu wachache tu walioamua kukinufaisha wenyewe.

Chumba cha kunyonyeshea wengi hawakijui
Kuna huduma maalumu za abiria zinatolewa mfano katika Stendi ya Nyegezi kuna chumba cha Wanawake Wanaohitaji kunyonyesha watoto wao, swali ni kwamba abiria mmewafikiaje wafahamu kuna huduma hizo na wawe tayari kuzitumia?

Ni vyema ukubwa wa Stendi hizo uendane na hadhi ya Wafanyabishara waliopo ili Halmashauri na Mkoani wa Mwanza kupata mapato ya ndani.
Mwandishi naona unatuzingua wasomaji wako. Umeandika bei ya chumba ni kati ya 600,000 na 1,000,000. Hizi bei ni kwa mwezi au mwaka?
Au unaona tutafahamu tu bila kubainisha
 
Nje kidogo ya Mada, hivi Kwann Arusha na Moshi enzi za jiwe zilinyimwa stendi?
Stendi ya Nyegezi ni ya pili kwa ukubwa hapa Mwanza baada ya ile ya Nyamohongolo, wakati wa ujenzi wake ilielezwa kuwa zaidi ya Sh. Bilioni 15 zilitumika kwa mradi huo ikiwemo maegesho ya mabasi, magari madogo, vyumba maalumu za abiria na chumba cha Wanawake wanaohitaji kunyonyesha watoto.

Upande wa Stendi ya Nyamuhongolo imeelezwa imegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 26. 6 ambapo pia kuna eneo la kuegesha malori, stendi ya mabasi yenye uwezo wa kuingiza mabasi 120, jengo la hoteli, eneo la gereji, eneo la ghala pamoja na maduka.

Pamoja na mambo mazuri yote hayo lakini bado kuna changamoto ya uendeshaji na kusababisha vyumba vingi kukosa wateja katika stendi hizo;
Vyumba kutumika kwa matumizi binafsi
Baadhi ya Wafanyabiashara wanadai kuna vyumba vinatumika kama vyumba vya watu binafsi kutokana na uwepo wa magodoro lakini vingine vimekuwa stoo za kuhifadhia vitu mbalimbali.

Baadhi ya Wafanyabiashara wa Stendi ya Nyamuhongolo wamelazimika kujenga kibanda nje ya Stendi, wengi wao wamefanya hivyo kutokana na gharama ya upangaji kuwa juu na sio rafiki kabisa kwao, inaelezwa bei ni kuanzia Sh Laki 6 hadi Milioni.

Kuna baadhi ya Mawakala ofisi zao zipo jirani na maeneo ya Nyegezi ambapo wamepanga katika nyumba binafsi ili kupunguza gharama

Biashara ni ngumu pia
Licha ya mzunguko wa fedha lakini biashara zimekuwa ngumu kwa kuwa abiria wengi wanakwepa kununua vitu ndani ya stendi hizo kutokana na gharama kuwa juu, Wafanyabiashara wanapandisha bei ili angalau wakidhi mahitaji ya fedha walizotumia kuwekeza kwenye vituo hivyo.

Halmashauri zinatakiwa kuwapa watu au kampuni maalum kuendesha vituo hivyo kwa kuweka mikakati sahihi.

Serikali inatakiwa kuingilia kati kwa kuwa kuna uwepo wa kutupiana mpira katika upangishaji wa vyumba kiasi ya kwamba inaonekana si jambo la kawaida kama mradi wa watu wachache tu walioamua kukinufaisha wenyewe.

Chumba cha kunyonyeshea wengi hawakijui
Kuna huduma maalumu za abiria zinatolewa mfano katika Stendi ya Nyegezi kuna chumba cha Wanawake Wanaohitaji kunyonyesha watoto wao, swali ni kwamba abiria mmewafikiaje wafahamu kuna huduma hizo na wawe tayari kuzitumia?

Ni vyema ukubwa wa Stendi hizo uendane na hadhi ya Wafanyabishara waliopo ili Halmashauri na Mkoani wa Mwanza kupata mapato ya ndani.
 
Fika Soko La Job Ndugai, Dodoma Ujionee Kama Hayo Ya Mwanza
 
Stendi ya Nyegezi ni ya pili kwa ukubwa hapa Mwanza baada ya ile ya Nyamohongolo, wakati wa ujenzi wake ilielezwa kuwa zaidi ya Sh. Bilioni 15 zilitumika kwa mradi huo ikiwemo maegesho ya mabasi, magari madogo, vyumba maalumu za abiria na chumba cha Wanawake wanaohitaji kunyonyesha watoto.

Upande wa Stendi ya Nyamuhongolo imeelezwa imegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 26. 6 ambapo pia kuna eneo la kuegesha malori, stendi ya mabasi yenye uwezo wa kuingiza mabasi 120, jengo la hoteli, eneo la gereji, eneo la ghala pamoja na maduka.

Pamoja na mambo mazuri yote hayo lakini bado kuna changamoto ya uendeshaji na kusababisha vyumba vingi kukosa wateja katika stendi hizo;
Vyumba kutumika kwa matumizi binafsi
Baadhi ya Wafanyabiashara wanadai kuna vyumba vinatumika kama vyumba vya watu binafsi kutokana na uwepo wa magodoro lakini vingine vimekuwa stoo za kuhifadhia vitu mbalimbali.

Baadhi ya Wafanyabiashara wa Stendi ya Nyamuhongolo wamelazimika kujenga kibanda nje ya Stendi, wengi wao wamefanya hivyo kutokana na gharama ya upangaji kuwa juu na sio rafiki kabisa kwao, inaelezwa bei ni kuanzia Sh Laki 6 hadi Milioni.

Kuna baadhi ya Mawakala ofisi zao zipo jirani na maeneo ya Nyegezi ambapo wamepanga katika nyumba binafsi ili kupunguza gharama

Biashara ni ngumu pia
Licha ya mzunguko wa fedha lakini biashara zimekuwa ngumu kwa kuwa abiria wengi wanakwepa kununua vitu ndani ya stendi hizo kutokana na gharama kuwa juu, Wafanyabiashara wanapandisha bei ili angalau wakidhi mahitaji ya fedha walizotumia kuwekeza kwenye vituo hivyo.

Halmashauri zinatakiwa kuwapa watu au kampuni maalum kuendesha vituo hivyo kwa kuweka mikakati sahihi.

Serikali inatakiwa kuingilia kati kwa kuwa kuna uwepo wa kutupiana mpira katika upangishaji wa vyumba kiasi ya kwamba inaonekana si jambo la kawaida kama mradi wa watu wachache tu walioamua kukinufaisha wenyewe.

Chumba cha kunyonyeshea wengi hawakijui
Kuna huduma maalumu za abiria zinatolewa mfano katika Stendi ya Nyegezi kuna chumba cha Wanawake Wanaohitaji kunyonyesha watoto wao, swali ni kwamba abiria mmewafikiaje wafahamu kuna huduma hizo na wawe tayari kuzitumia?

Ni vyema ukubwa wa Stendi hizo uendane na hadhi ya Wafanyabishara waliopo ili Halmashauri na Mkoani wa Mwanza kupata mapato ya ndani.
siyo uendeshaji, uwekezaji wowote mkubwa Mwanza ni hasara, Mwanza hakuna mzunguko wa pesa. Subiri uje uone SGR na daraja la Magufuli.
 
Usisingizie uendeshaji mbovu,mastenso yote Nchi nzima Yako tupu.

Kila siku nawaambia ni upumbavu kutumia mabilioni ya hela kujenga majengo makubwa ya gorofa kwenye stendi wakati Huwa hayatumiki.

Hakuna kitu watu wa Serikali wanaweza fanya kikaleta faida.

Mkitaka majengo wapeni private sector ndio wajenge
Maamuzi ya hovyo ya mwendazake, mshamba ni mshamba tu, mabilioni yote hayo yangetumika kujenga barabara za lami. Nenda stand kuu Dodoma(Nane nane) ni fedheha. Lini mshamba kafanya jambo lenye akili? Mwangalie mtoto wa mjini Kikwete amejenga Km 6000 za lami kipindi chake tu wakati tangia baada ya uhuru zilijengwa km 5000 tu.
 
Maamuzi ya hovyo ya mwendazake, mshamba ni mshamba tu, mabilioni yote hayo yangetumika kujenga barabara za lami. Nenda stand kuu Dodoma(Nane nane) ni fedheha. Lini mshamba kafanya jambo lenye akili? Mwangalie mtoto wa mjini Kikwete amejenga Km 6000 za lami kipindi chake tu wakati tangia baada ya uhuru zilijengwa km 5000 tu.
Ndio mjue Sasa kwamba kukurupuka Kwa sifa za Kisiasa zisizo na Tija kunaleta hasara
 
Sio Nyamungoro tu, stendi zote mpya zilizojengwa kileo zina mdororo nchini pote.

Stendi zile za asili za wananchi ndio zimechangamka.

Ushauri kwa Serikali za majiji.
1. Watu wote waruhusiwe kuingia na kutoka bure...
2.Biashara zote zenye kutoa huduma kwa abiria ziruhusiwe.....changanyikeni irudi...
3. Iwekwe bei elekezi ya kawaida sana ya kukodi vizimba...kwamba hata aliyemilikishwa rasmi na manispaa asi-dalalie kwa mwingine nje ya bei ya ukomo.

Wakiruhusu free movement ya watu, stendi zitabadilika kwa muda mfupi sana.

Wakumbuke kwamba Stendi Wadau wake wakuu ni Masikini..
Mwenye hela Stendi anaenda kufata nini?
Kama ni usafiri, ana uwezo wa kujisafirisha kwa gari yake binafsi.

Sasa kama Ukitoza laki sita kwa mwezi; kwa kila kizimba..halafu hapohapo mtu anayekodi badae akauze chai, chapati, ubwabwa nk. Je hivyo vyakula vitanunulika kweli?
 
Tatizo kubwa ni kutaka kupata pesa mara mbili mtu anae ingia stendi unataka alipie kiingolio hapo hapo anae uza ndani unataka ilipie kodi kubwa la jengo wakati huo mteja wake kuingia ndani unamtoza pesa, c ni bora ununue kwa maduka olioko nje ya stendi.......hayo maduka hayatafanya kazi kwasbabu kama izo.
Upo sahii serikali yetu Ina tamaa sana
 
Sio Nyamungoro tu, stendi zote mpya zilizojengwa kileo zina mdororo nchini pote.

Stendi zile za asili za wananchi ndio zimechangamka.

Ushauri kwa Serikali za majiji.
1. Watu wote waruhusiwe kuingia na kutoka bure...
2.Biashara zote zenye kutoa huduma kwa abiria ziruhusiwe.....changanyikeni irudi...
3. Iwekwe bei elekezi ya kawaida sana ya kukodi vizimba...kwamba hata aliyemilikishwa rasmi na manispaa asi-dalalie kwa mwingine nje ya bei ya ukomo.

Wakiruhusu free movement ya watu, stendi zitabadilika kwa muda mfupi sana.

Wakumbuke kwamba Stendi Wadau wake wakuu ni Masikini..
Mwenye hela Stendi anaenda kufata nini?
Kama ni usafiri, ana uwezo wa kujisafirisha kwa gari yake binafsi.

Sasa kama Ukitoza laki sita kwa mwezi; kwa kila kizimba..halafu hapohapo mtu anayekodi badae akauze chai, chapati, ubwabwa nk. Je hivyo vyakula vitanunulika kweli?
Tena kama hoyo ya nyamongoro wangefanya free ingechangamka sana, wangekusanya mapato mengi sana kwa siku
 
Back
Top Bottom