DOKEZO Stendi ya Magufuli hakuna Maji siku ya tatu, hali ya vyoo inatisha

DOKEZO Stendi ya Magufuli hakuna Maji siku ya tatu, hali ya vyoo inatisha

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mawele

Senior Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
119
Reaction score
320
Stendi ya Magufuli hakuna maji siku ya tatu leo, watu wanalazimika kwenda stendi ya daladala ya Mbezi Luis na kule kwenye maduka stendi ya Malamba kujisaidia kwenye vyoo vya vya watu binafsi.

Maji ya DAWASA hakuna na matanki hayana maji, ajabu mtu akitaka kuingia chooni analipia 200 japo hakuna maji hiyo ni kwa baadhi ya vyoo ambavyo havijafungwa maana kuna vingine imebidi vifungwe kwa uchafu kutokana na kukosa maji

Hali ni mbaya sana, vyoo vimejaa uchafu vinanuka sana kwa kuwa watu wanaingia kujisadia na maji hakuna, wengine wanatumia tishu, karatasi au wenye visenti wananunua maji ya Chupa wanaigia nayo chooni.

Hii Serikali imeshindwa hata kuhakikisha huduma ya maji inakuwepo muda wote kwenye maeneo muhimu kama haya yanayokusanya watu wengi muda wote, sijui inaweza kipi.
 
IMG_4267.jpeg
 
Stendi ya Magufuli hakuna maji siku ya tatu leo, watu wanalazimika kwenda stendi ya daladala ya Mbezi Luis na kule kwenye maduka stendi ya Malamba kujisaidia kwenye vyoo vya vya watu binafsi.

Maji ya DAWASA hakuna na matanki hayana maji, ajabu mtu akitaka kuingia chooni analipia 200 japo hakuna maji hiyo ni kwa baadhi ya vyoo ambavyo havijafungwa maana kuna vingine imebidi vifungwe kwa uchafu kutokana na kukosa maji

Hali ni mbaya sana, vyoo vimejaa uchafu vinanuka sana kwa kuwa watu wanaingia kujisadia na maji hakuna, wengine wanatumia tishu, karatasi au wenye visenti wananunua maji ya Chupa wanaigia nayo chooni.

Hii Serikali imeshindwa hata kuhakikisha huduma ya maji inakuwepo muda wote kwenye maeneo muhimu kama haya yanayokusanya watu wengi muda wote, sijui inaweza kipi.
Daaas ni aibuuu sanas...wacha tumalize mkesha kwa bulldozer tutakuja kukanusha baada fix tatizo
 
Nchi ina viongozi wa ajabu sana! Wanajenga stendi kwa mabilioni wanashindwa kuchimba visima kwa ajili ya dharura kama hizo! Lakini kuna mtu atakwambia fulani anaupiga mwingi au utasikia fulani angekuwa hai hadi leo tungekuwa tumefika mbali!
 
Back
Top Bottom