mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kipindi niko mdogo stendi ya kwenda mikoani kutokea Dar ilikuwa Kisutu na nyingine ilikuwa Mnazi mmoja
Ni mpaka early 90s meya au mkurugenzi wa Jiji Bwana Keenja slipoihamishia Ubungo,jamaa alikuwa mbunifu sana.
John Pombe Magufuli akaisogeza mbezi Luis
Hii imepekekea wamikoani wengi wakidhani mbezi ndio City centre,niliwahi kuleta uzi humu jinsi nilivyompoteza ndugu yangu mitaa ya Congo Kariakoo baada ya kuliponda jiji letu, yule bwana alitembea kwa miguu kutoka kariakoo mpaka mbezi malamba mawili maana hakuwa na nauli, kuanzia siku hiyo akawa mpole.
Ni kama Morogoro Town hufanya watu wadhani pale Msamvu ndio city center,bila kujua mji uko ndani huko,zamani miaka ya 70 barabara ilikuwa ikipita katikati ya mji wa Morogoro
Hivi unajua jiji la Dar ed Salaam huenda linazidi jiji la Detroit nchini marekani kwa mambo mengi?najua kuna watu watabisha,nimefika Detroit na naijua Dar tofauti kama ipo ni kidogo sana.
Niliwahi kufika Kinshasa nikashangaa mji unaanzia kama posta mpaka Kibaha ni mji tu. Kinshasa ni kubwa zaidi ya mara tatu ya Dar Es salaam kwa size na population, nadhani wako milioni 17 kwa anayesikia habari za waasi wa Congo anaweza kudhani Congo yote ni magofu.
Naomba tuupe heshima jiji letu la DSM kama hulijui omba utembezwe,au kama umefikia Kitunda au Chanika,bado hujalijua jiji.
Hapo kariakoo tu uwe umezaliwa Dar au umeletwa na mwenge lazima kuna siku uliwahi kupotea.
Miji na majiji yote ya Tanzania nimeyatembelea Dodoma after 15 year atleast wanaweza kuanza kuleta battle za kujishindanisha na Dar, mikoa mingine subirini kwanza miaka 60 ijayo
Kipindi tunapata uhuru Tanga ilikuwa nambari mbili after Dar,miaka 60 mbele iko nyuma sana
Ni mpaka early 90s meya au mkurugenzi wa Jiji Bwana Keenja slipoihamishia Ubungo,jamaa alikuwa mbunifu sana.
John Pombe Magufuli akaisogeza mbezi Luis
Hii imepekekea wamikoani wengi wakidhani mbezi ndio City centre,niliwahi kuleta uzi humu jinsi nilivyompoteza ndugu yangu mitaa ya Congo Kariakoo baada ya kuliponda jiji letu, yule bwana alitembea kwa miguu kutoka kariakoo mpaka mbezi malamba mawili maana hakuwa na nauli, kuanzia siku hiyo akawa mpole.
Ni kama Morogoro Town hufanya watu wadhani pale Msamvu ndio city center,bila kujua mji uko ndani huko,zamani miaka ya 70 barabara ilikuwa ikipita katikati ya mji wa Morogoro
Hivi unajua jiji la Dar ed Salaam huenda linazidi jiji la Detroit nchini marekani kwa mambo mengi?najua kuna watu watabisha,nimefika Detroit na naijua Dar tofauti kama ipo ni kidogo sana.
Niliwahi kufika Kinshasa nikashangaa mji unaanzia kama posta mpaka Kibaha ni mji tu. Kinshasa ni kubwa zaidi ya mara tatu ya Dar Es salaam kwa size na population, nadhani wako milioni 17 kwa anayesikia habari za waasi wa Congo anaweza kudhani Congo yote ni magofu.
Naomba tuupe heshima jiji letu la DSM kama hulijui omba utembezwe,au kama umefikia Kitunda au Chanika,bado hujalijua jiji.
Hapo kariakoo tu uwe umezaliwa Dar au umeletwa na mwenge lazima kuna siku uliwahi kupotea.
Miji na majiji yote ya Tanzania nimeyatembelea Dodoma after 15 year atleast wanaweza kuanza kuleta battle za kujishindanisha na Dar, mikoa mingine subirini kwanza miaka 60 ijayo
Kipindi tunapata uhuru Tanga ilikuwa nambari mbili after Dar,miaka 60 mbele iko nyuma sana